Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Hilo mkuu umewakumbusha vijana wao watafikiri wote wanapiga kozi kumbe wengine kazi maalumu tena maalumu na wengine wataondoka ghafla hawatawaona
Ni kweli asee...kuna watu waliondoka ccp kwa sababu za zilizofikirisha sana ila tunakuja kukutana nao kitaa wapo ofisi nyeti ...unaanza kujiuliza hawa jamaa ni kunguru weusi
 
Ni kweli asee...kuna watu waliondoka ccp kwa sababu za zilizofikirisha sana ila tunakuja kukutana nao kitaa wapo ofisi nyeti ...unaanza kujiuliza hawa jamaa ni kunguru weusi
Daaah hao watu balaa..niliwahi soma kitabu kimoja jinsi wanavyokua recruited na jinsi wanavyoishi japo kimeelezea kwa juu juu ilaaa vitu vingi nilivifahamu
 
Nilisema hili pia mkuu,

Shukrani kwa kulikazia maana vijana kuna muda hatuaminiani

Me naomba kujulishwa vizuri, hii mambo ya reserve ni Kuwa ukipambania ndo unapata au wanakupigia simu wao kama wao au watatoa batch nyingne kama walivyotoa mwanzo au n mambo ya kimya kmya
 
Kuna nini kipya hadi kozi imeongezwa muda kufikia mwaka mmoja? Ni darasa zaid au field training ndo imeongezwa maana tpdf RTS+Level 3 it's around 8 months polisi Kuna nini cha ziada hadi kuwa mwaka mzima???
 
Kuna nini kipya hadi kozi imeongezwa muda kufikia mwaka mmoja? Ni darasa zaid au field training ndo imeongezwa maana tpdf RTS+Level 3 it's around 8 months polisi Kuna nini cha ziada hadi kuwa mwaka mzima???
Ukihudhuria course basi utakiona hicho kipya. Kumbuka utendaji kazi wa polisi sio sawa na utendaji kazi wa JWTZ so hiyo comparison yako becomes null n void
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…