southernboy
JF-Expert Member
- Sep 27, 2015
- 882
- 1,075
hatar mkuu ile kwata nliyoipiga pale chuo cha maafisa nkajiiina CCP hii hapa ila sasa nimekula za usoPt daaah
Unatulingishia au vipi?Jamaa wa ikuru kashafanya yake safi kaniambia nimsogeze dogo pwani [emoji23]
Wengi sana bro wapoDaah kuna dogo namjua hata hajapitia jakata lkn leo nimuona kapost nae kahitimu magereza daah maisha haya!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kuna ujumbe nilikutumia inboxJamaa wa ikuru kashafanya yake safi kaniambia nimsogeze dogo pwani [emoji23]
Hajasema kwa ubaya ila anachosisitiza ni nidhamu na uvumilivu. kwa wadau wanaohitaji mmbanga kuna kukosa na kupata pia hata uwe na mbanga ..Zinazidiana nguvu.Unatulingishia au vipi?
Sio kwa ubaya ila mkuu unatupa migogoro ya nafsi sana kama umepata just shut up your mouth unatuumiza tuliokuwa na vigezo ila hatuna hao watu kausha mzee hauna msaada wowote humu .......
daah ccp ndo imenipita hivihivi,so sad[emoji17]Taarifa kwa mliochaguliwaView attachment 2570038
Wakati bado upo jaribu kuweka sawa njia ili upite vizuri baadae usisahau sala kwa Muumbadaah ccp ndo imenipita hivihivi,so sad[emoji17]
NyotaConnection ambazo sio za ndugu haziji kibahati mbaya tu ila zinajengwa kwa nidhamu
Kuna dogo mwaka 2020 alikuwa ni fundi rangi (alikuwa anafundishwa na kaka yake baada ya kumaliza form six)
Katika harakati zao za upakaji rangi wakajuana na mibanga mbalimbali like mameneja wa Tigo,voda,tanesco,tbs nk
Wakajuana na mibanga wengine wa jwtz polisi tanapa nmb nk
Sasa juzi nikampigia simu kaka yake na huyo dogo nilitaka amwambie dogo aje anipakie rangi dinning room (huwa nampenda aje huyo dogo sababu yupo very humble)
Kaka yake akanijibu kuwa "DOGO ALIPATA CONNECTION NOW YUPO NCHI MOJA WAPO YA middle east ANACHUKUA KOZI YA cyber security......na NYOTA YA PILI...."
In short young man alipata connection kwa kupitia wateja wao wa kazi zao za ufundi nidhamu yake ikambeba nadhani atakuwa na 23 years now
Nitarudi kusema......
Hakuna kitu huyu anatutambia halafu sio poa wala nini Watu wana makovu ya kukosa majeshi yote hafu yeye anakuja kutulingishia sijui mbuyu nyenyenye .....huoni anaweka na imoj za kuchekaHajasema kwa ubaya ila anachosisitiza ni nidhamu na uvumilivu. kwa wadau wanaohitaji mmbanga kuna kukosa na kupata pia hata uwe na mbanga ..Zinazidiana nguvu.
Jamaa wa ikuru hajawai kufeli...weka nidhamu mbele itakusaidiaUnatulingishia au vipi?
Sio kwa ubaya ila mkuu unatupa migogoro ya nafsi sana kama umepata just shut up your mouth unatuumiza tuliokuwa na vigezo ila hatuna hao watu kausha mzee hauna msaada wowote humu .......
Sipati notification wala text sijui kwannMkuu kuna ujumbe nilikutumia inbox
Sawa mkuuSipati notification wala text sijui kwann
Naona safari hii mambo mazuri, hadi nauli mtarudishiwa. Dalili nzuri hii kwa jeshi letu. Haya tulizoea kuyqona kwa JWTZ. Na wamefanya vizur bora kwenda direct Moshi moja kwq moja sio kuzunguka Dodoma then MoshiTaarifa kwa mliochaguliwaView attachment 2570038
Nahisi ilikuwa wakienda Dodoma wangepakiwa kwa pamojaNaona safari hii mambo mazuri, hadi nauli mtarudishiwa. Dalili nzuri hii kwa jeshi letu. Haya tulizoea kuyqona kwa JWTZ. Na wamefanya vizur bora kwenda direct Moshi moja kwq moja sio kuzunguka Dodoma then Moshi