Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Ni kweli mkuu wanarudi tena
 
Daaaah pole sana mkuu ila kila kitu kinawezekana tu mungu ndio kila kitu sema kuna ile kufumba jicho moja afu herufi zinawekwa mbali kidogo....utaje herufi
Upo sahihi mkuu yan herud za hatua 5 mbele siwez kusoma na hata mtu akiwa mbele kwa hatua 15 simtambui sura yake, kwahali kam hii napata waswas hata wa kutoboa maana nasikia macho pia wanazngatia japo sina hakika
 
Upo sahihi mkuu yan herud za hatua 5 mbele siwez kusoma na hata mtu akiwa mbele kwa hatua 15 simtambui sura yake, kwahali kam hii napata waswas hata wa kutoboa maana nasikia macho pia wanazngatia japo sina hakika
Tafuta tiba chief...ww hata gari hutaruhusiwa kuendesha
 
Upo sahihi mkuu yan herud za hatua 5 mbele siwez kusoma na hata mtu akiwa mbele kwa hatua 15 simtambui sura yake, kwahali kam hii napata waswas hata wa kutoboa maana nasikia macho pia wanazngatia japo sina hakika
Pole sana mkuu wanapima aiseee
 
Igwee!!
 
Jamaa zangu wamerud toka TMA Mambo magumu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…