becknature
JF-Expert Member
- Mar 9, 2017
- 665
- 825
Nipagumu kweli bro, shule plus mazoezi inachosha sana,Ukiwa TMA inabid uwe unasali sana maana kila siku watu wanarudi mpaka ichukue nyota si mchezo,ndomana wanaringa sana wenye nyota zao wamezipata kwa tabu sana
Being an officer wa jwtz si kazi rahisi kabisa.