Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Umri kwanza umeenda ingawa ulikuw ndani ya range yao...pili kama walifanyiwa vipimo vya afya, hususan kuangaliwa kama amezaa au hajazaa basi kuna uwezekano waliona tayar alishazaa...wakamtema
Hyo umri ni kupinguza tu idadi ya watu maximum ya kuingia Utumishi ni 45 mbona zamani walienda beyond huyu tu jina lilichomolewa akawelwa mingine mbona ni kawaida huko kuambiwa ni mgonjwa huku mzima loh
 
Hyo umri ni kupinguza tu idadi ya watu maximum ya kuingia Utumishi ni 45 mbona zamani walienda beyond huyu tu jina lilichomolewa akawelwa mingine mbona ni kawaida huko kuambiwa ni mgonjwa huku mzima loh
UT&other security organs ikiwemo MT,JW,PT age mwisho huwa 28-30.

huku UTUMISHI mkuu ndio wanazoa hadi miaka 45
 
UT&other security organs ikiwemo MT,JW,PT age mwisho huwa 28-30.

huku UTUMISHI mkuu ndio wanazoa hadi miaka 45
Mbona Kuna wanaoenda zaidi ya huo umri huo kwenye kila role Kuna exceptions nyingi tu mbona wapo. Yani uwe na potential kubwa na recommended na inaweza ku add value uachwe kisa umri umezidi moja, au mbili Tena uwe na referee na umeonwa unafaa unachukuliwa tu
 
naona unaleta assumptions zaidi,kuliko kanuni na muongozo wa vyombo vya ulinzi.
 
naona unaleta assumptions zaidi,kuliko kanuni na muongozo wa vyombo vya ulinzi.
Coz nimeona Kwa watu baadhi ninao wajua pia mfano case ya majaliwa ya darasa la Saba, mwingine naye la Saba ila alienda jeiwii. So Kuna vitu beyond
 
Hiv wakuu jwtz kwa mwaka huchukua intake ngap naon polis ni mara moj tu kwa mwaka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…