Ww ni mkufunzi jeshini???yani ujui hata kama sikuizi haki za binadamu zimeingia jeshini mnaona vijana mnavyodanganywa....Nani kasema miezi yote mnakesha? Soma vizuri.Haki za binadamu unaongelea kwenye kozi ya kijeshi mkuu? Haki na taratibu wakati wa mafunzo mtasomewa tu na mkuu wa mafunzo ila utekelezaji ni vitu viwili tofauti.
[emoji23][emoji23][emoji23]sawaNadhani wewe unataka kubishana tu,ugumu wa kozi upo kwa mpiga kozi mwenyewe,kama wewe ulipiga kozi na ukaona mteremko tu ni sawa ila mwingine atasema kozi ngumu aiseeh.
Alafu kozi ni kozi tu hata iwe ya saa moja ugumu hauwezi kukosekana,huko TMA au 92 unakosema wapo waliomaliza na wakasema mambo ni easy.
Depo ya miaka ya 90 na depo ya miaka ya 2000 hawaivi chungu kimoja lzm watofautiane kutokana na utofauti wa zama za kozi zao ../... OverHana lonja gani huyo ni muongi tuu kama walivyo waongo wengine ww uzi huu umeanza mpaka umefika hapa umeona katoa lonja ipi hapa zaidi ya uongo uongo tuu ngoja ni wambie vijana nyie kuweni watulivu tuu majina yatatoka na mtapata maelekezo....
Nataka nikuambie kitu kimoja kwa sasa nipo 121 field engineer hapo hawa wana wa 92 ni jirani zangu nawajua vzr mno na ninapiga nao story sana ni wanangu inshort, mzee kozi ya ukomandoo sio poa hakuna mtu anae maliza komandoo akakwambia ni easy watu wananza na kupewa kombati pair mbili mbili mpya na boot mpya wakifika mwezi wa 5 tu kombati zote zimechakaa na boot azitamaniki kama nn unaongea nn ww....Nadhani wewe unataka kubishana tu,ugumu wa kozi upo kwa mpiga kozi mwenyewe,kama wewe ulipiga kozi na ukaona mteremko tu ni sawa ila mwingine atasema kozi ngumu aiseeh.
Alafu kozi ni kozi tu hata iwe ya saa moja ugumu hauwezi kukosekana,huko TMA au 92 unakosema wapo waliomaliza na wakasema mambo ni easy.
Hahahhaah Ila JF raha sanaHana lonja gani huyo ni muongi tuu kama walivyo waongo wengine ww uzi huu umeanza mpaka umefika hapa umeona katoa lonja ipi hapa zaidi ya uongo uongo tuu ngoja ni wambie vijana nyie kuweni watulivu tuu majina yatatoka na mtapata maelekezo....
Kwa hiyo Mkuu huna Imani na Choo Cha Kulipia kabisaBy the way hakuna anaejua polisi watatoa hayo majina lini hata uyo mnae mtegemea ajui kitu cha zaidi atawadanganya danganya tuu bac lakini kusema anajua sio kweli...
Nimepita JKT Operesheni Vyama Vingi mwaka 91 nimdanganye mtoto wangu ili nipate nini?Ww ni mkufunzi jeshini???yani ujui hata kama sikuizi haki za binadamu zimeingia jeshini mnaona vijana mnavyodanganywa....
Msamehe tu huyo jamaa anaonekana anapenda ligiNimepita JKT Operesheni Vyama Vingi mwaka 91 nimdanganye mtoto wangu ili nipate nini?
Mkuu mbona kama una ligi na mimi,husomi ukaelewa unakosoa tu.
Jeshini zipo sheria na haki katika mafunzo yoyote yale ya kijeshi na ni kweli wakati mnakaribia kufungua kozi mnasomewa haki zenu na sheria kwa ujumla sasa anayezisoma na anayezisimamia ni watu wawili tofautj mkufunzi kaishikilia platoon yenu wakati wa kozi na kawapa doso sana miksa fimbo na kupigwa nua hizo sheria zitakuwa zimewasaidia nini muda huo na umeshaumia tayari?
Nadhani wewe ni raia tu hivyo sina cha kukueleza zaidi.
Alafu wewe kama ni Askari basi bado una uraia sana,huwezi kudisclose id yako kiasi hiki mitandaoni.Nataka nikuambie kitu kimoja kwa sasa nipo 121 field engineer hapo hawa wana wa 92 ni jirani zangu nawajua vzr mno na ninapiga nao story sana ni wanangu inshort, mzee kozi ya ukomandoo sio poa hakuna mtu anae maliza komandoo akakwambia ni easy watu wananza na kupewa kombati pair mbili mbili mpya na boot mpya wakifika mwezi wa 5 tu kombati zote zimechakaa na boot azitamaniki kama nn unaongea nn ww....
Anaongea upupu Sana au labda anakunywa Sana pombe Sana,huyo Mwisho wa Siku atakuja kuropoka Jina lakeAlafu wewe kama ni Askari basi bado una uraia sana,huwezi kudisclose id yako kiasi hiki mitandaoni.
Ubaguzi ghani ambao nimeuongea emu soma andiko langu vzr alafu uniambie ubaguzi uko wap lzm ukubali kwamba mtu kuna utofauti wa kijana wa mujibu na kujitolea miezi mi3 ya kozi ya coz changanya likizo ya kuomba mikopo plus kuapply chuo yote hayo within 3 months afu na mtu ambaye anafanya mafunzo ya 6 months afu mtu hyohyo anakaa zaidi ya miaka mi2 mingine kupata malezi ya kijeshi na kuzidi kujifunza mambo mbalimbali wanawezaje kuwa sawa kwny kwa mfano? Sawa vyombo vya ulinzi vinaendeshwa km taasisi na ziko katika kujitegemea kiuendeshwaji kwa maana kutochanga raia na askari ktk majukumu ya kijeshi hvyo ni lzm upate professions ktk kada mbalimbali km afya,uhabdisi n.k na ni ngumu sana kwa uzoefu wangu kupata kila kitu kutoka kwa vijana wanaoejitolea au waliojitolea JKT so wkt mwngne ni lazima urudi uraini kutafuta kile unachokitaka kulingana na mahitaji yako km taasisi so hata Jeshi wamekuwa wakifanya hv several tyms, angalia hata vigezo vilivyotangazwa na vyombo vya ulinzi mambo ya ndani kwa hyo incase unapata kilichobora nje ya JKT iwe mujibu au raia kbs ts ok hakuna tatizo hvyo fursa yyte basing in professinalism(experts) km chukua yyte ambaye ni best bila kujali UJakata lkn km vinginevyo chukua aliyejitolea JKT maanake kwa vyovyote vile ni bora kuliko mujibu au raia na ndivyo ilivyo km hutaki bacAcha ubaguzi mkuu hizi ni rizk tu .mungu mkubwa atasaidia wote bila kujali lolote
Maelezo mengi lkn umeandika pumba huna ujualo zaidi ya roho mbaya na ubaguzi huu Uzi tunapeana lonja kuhusu mustakabali unavyoenda lkn wewe na roho yko mbaya unaleta mdahalo wa ubishani nenda vijiweni ukabishane humu siyo mahala pako .mkuuUbaguzi ghani ambao nimeuongea emu soma andiko langu vzr alafu uniambie ubaguzi uko wap lzm ukubali kwamba mtu kuna utofauti wa kijana wa mujibu na kujitolea miezi mi3 ya kozi ya coz changanya likizo ya kuomba mikopo plus kuapply chuo yote hayo within 3 months afu na mtu ambaye anafanya mafunzo ya 6 months afu mtu hyohyo anakaa zaidi ya miaka mi2 mingine kupata malezi ya kijeshi na kuzidi kujifunza mambo mbalimbali wanawezaje kuwa sawa kwny kwa mfano? Sawa vyombo vya ulinzi vinaendeshwa km taasisi na ziko katika kujitegemea kiuendeshwaji kwa maana kutochanga raia na askari ktk majukumu ya kijeshi hvyo ni lzm upate professions ktk kada mbalimbali km afya,uhabdisi n.k na ni ngumu sana kwa uzoefu wangu kupata kila kitu kutoka kwa vijana wanaoejitolea au waliojitolea JKT so wkt mwngne ni lazima urudi uraini kutafuta kile unachokitaka kulingana na mahitaji yako km taasisi so hata Jeshi wamekuwa wakifanya hv several tyms, angalia hata vigezo vilivyotangazwa na vyombo vya ulinzi mambo ya ndani kwa hyo incase unapata kilichobora nje ya JKT iwe mujibu au raia kbs ts ok hakuna tatizo hvyo fursa yyte basing in professinalism(experts) km chukua yyte ambaye ni best bila kujali UJakata lkn km vinginevyo chukua aliyejitolea JKT maanake kwa vyovyote vile ni bora kuliko mujibu au raia na ndivyo ilivyo km hutaki bac
Hahahahahahaha hahahahah nimekubaliMaelezo mengi lkn umeandika pumba huna ujualo zaidi ya roho mbaya na ubaguzi huu Uzi tunapeana lonja kuhusu mustakabali unavyoenda lkn wewe na roho yko mbaya unaleta mdahalo wa ubishani nenda vijiweni ukabishane humu siyo mahala pako .mkuu
Fire wametoa kabisa fomu yao ya Afya una print unaenda nayo kwa Daktari wa Serikali anakujazia ndiyo unaiambatisha kwenye maombi yako.View attachment MEDICAL-EXAMINATION-FORM-FIRE-AND-RESCUE-FORCE.pdfChoo Cha Kulipia mkuu nisaidie barua ya uthibitisho wa afya
Hakuna sehem aliposema anajua majina yatatoka lini, mbn kama una vita naeBy the way hakuna anaejua polisi watatoa hayo majina lini hata uyo mnae mtegemea ajui kitu cha zaidi atawadanganya danganya tuu bac lakini kusema anajua sio kweli...
Unaweza kuta ni service man, au amepita tu JKT Mujibu kamaAlafu wewe kama ni Askari basi bado una uraia sana,huwezi kudisclose id yako kiasi hiki mitandaoni.