Sahihi jamaa alikuw na mbanga Gen ..,.bado mbanga kuomba aka ambiwa kachelewa next timeWhat i know bhana kwa mwanajeshi connection inategemea upo wapi na una uhusiano gani na wakubwa zako.Kuna staff surgent ana muendesha mkuu wa majeshi na luteni kanali maybe yupo mgulani. Mwenye probability kubwa ya kumsaidia mtu kuingia jeshini kwa haraka ni dereva wa mkuu wa majeshi kuliko luteni kanali wa mgulani.
So ukisema mbanga wa uhakika jeshin ni kuanzia major nakataa kabisa kwasababu nimeshuhudia major mmoja alkuwa mgulani na alishindwa kumsaidia mdg wake kupata nafasi jeshin.
Cp anacheo Cha Major Gen mkuu wa utumishi na ajira MMJCanal pale makao makuu ya jeshi ni mdg sana kuanzia Brighedia general ndio uhakika sana sana.
Though kuna rafki yangu mtt wa Brighedia ilibidi aende cadert mwez wa 12 ila alichujwa kisa umri alkuwa na 30yrs.
What i can conclude jeshini anaehusika na ajira(Afisa uajiri jeshini ni Brighedia ****)So kuanzia Brighedia ambae atakuwa senior kwa huyo au waliopiga nae kozi intake moja(Hapa wanaweza kuwa intake moja ila wenzake bado wakawa ni major,canal,luteni kanali inadepend na aliyewahi kupiga kozi ya kupanda cheo na kufaulu mithn) na marafiki zake wa karibu ndo wanaweza atleast kuwa na chance au na huruma yake na moyo wake pia kusaidia kwa wale watakaomfuata direct huwa anawasaidia.
Major Gen mkuu wa utumishi msaidz wake Lt.ColCanal pale makao makuu ya jeshi ni mdg sana kuanzia Brighedia general ndio uhakika sana sana.
Though kuna rafki yangu mtt wa Brighedia ilibidi aende cadert mwez wa 12 ila alichujwa kisa umri alkuwa na 30yrs.
What i can conclude jeshini anaehusika na ajira(Afisa uajiri jeshini ni Brighedia ****)So kuanzia Brighedia ambae atakuwa senior kwa huyo au waliopiga nae kozi intake moja(Hapa wanaweza kuwa intake moja ila wenzake bado wakawa ni major,canal,luteni kanali inadepend na aliyewahi kupiga kozi ya kupanda cheo na kufaulu mithn) na marafiki zake wa karibu ndo wanaweza atleast kuwa na chance au na huruma yake na moyo wake pia kusaidia kwa wale watakaomfuata direct huwa anawasaidia.
We jamaa hujui kituMeja kama meja coz mikoani mjeda mwenye cheo kikubwa huwa ni
1.Kanal
2.luten kanal
3.meja
Na mara nyingi mameja ndio huwa wanakuwa washauri wa migambo so hawa ndio kila kitu as RSM
Field force si ni kitengo cha PT mkuu ama? Nikimaanisha nao pia wanatokea CCP. Sasa wewe ulitkiwa kwenda kikosi kipi?Wengi hichi kitu hatujui nakumbuka time nimemaliza form four nilitaka kwenda field force na nafasi ilipatikana usiku ikatakiwa niende kikosini asubuhi yake
Shemeji yangu nisiyekuwa nakaa kwake akakataa akanipeleka chuo kusoma diploma ya mechanical engineering
Nadhani nachopata sasa ni mara 5 ya huko upolisini
Yani mpaka hapo ujue jamaa ana uvulana mwingi badoField force si ni kitengo cha PT mkuu ama? Nikimaanisha nao pia wanatokea CCP. Sasa wewe ulitkiwa kwenda kikosi kipi?
Sent from my STK-L21 using JamiiForums mobile app
Hapo sikupingiAlichomaanisha ni kuwa wenye vijogoo anauwezo wa kumcommand meja naomba jina la flan liwepo
Sawa luten generalWe jamaa hujui kitu
Kuna mtu amesema ffu sio Polisi mkuu ?Field force si ni kitengo cha PT mkuu ama? Nikimaanisha nao pia wanatokea CCP. Sasa wewe ulitkiwa kwenda kikosi kipi?
Sent from my STK-L21 using JamiiForums mobile app
Hata kama hukitakiKuna wengine huwa hawaweki nguvu nyingi chief...
Ila kama haikupangwa haitafanikiwa..ukilazimisha ukiingia hata kazini changamoto zinakua hazikuishi na utakua unajutia daily
Nanukuu wimbo wa Mwana Fa_Mfalme
"Unapata ulichoandikiwa
We pambana na jamaa yako wa ikuru tu ila tushakushtukia kitambo sana mkuu ila we hujishtukii bado🤣🤣.......watu washakwambia hujui kitu bora utulie tu....kwani kuna ulazima wa kuandika humu mbna wengine wamekaa kimya....unataka uingize watu mkenge wakitafte uwapige hela trust me hakuna connection inayojitangaza hiv kweupe hakunaHakika simdai chochote jamaa wa ikuru kaupiga mwingi saana
TPDF_23
Sawa ila shida ni kusema habari za kikosini mkuuKuna mtu amesema ffu sio Polisi mkuu ?
Maana ya kikosi ni nini ?
Jamaa wa ikuru kaupiga mwingiWe pambana na jamaa yako wa ikuru tu ila tushakushtukia kitambo sana mkuu ila we hujishtukii bado[emoji1787][emoji1787].......watu washakwambia hujui kitu bora utulie tu....kwani kuna ulazima wa kuandika humu mbna wengine wamekaa kimya....unataka uingize watu mkenge wakitafte uwapige hela trust me hakuna connection inayojitangaza hiv kweupe hakuna