Ikulu[emoji736]Jamaa wa ikuru kaupiga mwingi
Huyu jamaa amna kitu hajui hata kuandika afu anajifanya anaelewa vitu vingi kuhusu chombo...
Hahahahahahaha jamaa wa ikuru jamaa wa ikuruHuyu jamaa amna kitu hajui hata kuandika afu anajifanya anaelewa vitu vingi kuhusu chombo...
Jamaa hana lolote Ni choka mbaya kuliko hata sisi.Huyu jamaa amna kitu hajui hata kuandika afu anajifanya anaelewa vitu vingi kuhusu chombo...
Mwandiko wake tu siyo wa mtu mwenye connection ya kupenyeza mtu (hata ndugu yake.) idara nyeti. Ni mlimbukeni na mpenda attention.Hahahahahahaha jamaa wa ikuru jamaa wa ikuru
Anaweza akawa anayo ila yeye akaambiwa ukileta watu nitakugawia percent kadhaa ya helaMwandiko wake tu siyo wa mtu mwenye connection ya kupenyeza mtu (hata ndugu yake.) idara nyeti. Ni mlimbukeni na mpenda attention.
Sent from my STK-L21 using JamiiForums mobile app
JIFUNZE KUPIGA SIMU SI KUTUMA JUMBE, WAKUU WENGI HAWANA TIME NA KUSOMA JUMBE ZA SIMU.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mwandiko wake tu siyo wa mtu mwenye connection ya kupenyeza mtu (hata ndugu yake.) idara nyeti. Ni mlimbukeni na mpenda attention.
Sent from my STK-L21 using JamiiForums mobile app
Aliniambia niwe namtumia mesejiJIFUNZE KUPIGA SIMU SI KUTUMA JUMBE, WAKUU WENGI HAWANA TIME NA KUSOMA JUMBE ZA SIMU.
vp na wewe upo kwa wale op makao walioitwa BOTHivi wakuu mkitolewa kambin mfano jkt mkaenda kufanya interview BOT kuna kua na kitu gan
Security officerHivi wakuu mkitolewa kambin mfano jkt mkaenda kufanya interview BOT kuna kua na kitu gan
mara nyingi wanakuwa ni security officers ,kuna wanangu walienda mwakajuz walichukuliwa makambini wakafanya usahili mgulani now naona safari za ndege tuu hadi wameshajenga.Au ni kwa ajili ya ulinzi??
Kuna vijana wa op makao na wao wameotwa??vp na wewe upo kwa wale op makao walioitwa BOT