southernboy
JF-Expert Member
- Sep 27, 2015
- 882
- 1,075
Namsoma vizuri usihofu chiefHuyu jamaa ana ego sana usimuwekee maanani mwanangu Tai.
Kwan waliokuwa msata wazalendo wameshafungua kozi?ronja tuu,,andaeni vyeti vya udereva na ufundi ,soon tuu wa6 hapo bogi ,mwezi wa 8 ndio kozi inaanza
Mwanangu yani hata uyo aneyetaka kukusaidia akiona unavyojigamba apa ataona utaleta risk ata kama ndo mkuu wa chombo ataamua kuacha watu wana connection babu ila jifunze kuwa na kifua kaka😂😂 afu sasa me bado sijawahi kufanya maombi ya majeshi hata moja hata nikitaka kuingia sifanyi application sema tu muda bado kuna mambo yangu nafanya ningekuonyesha kwamba kuingia chmboni sio kazi ngumu....sema nimeshakuelewa na jamaa wako wa ikuru..😂😂sio
Kuna dogo langu ameitwa hivi Kuna utaratibu wa kukisanya simu pale shuleni au hatakiwi kukanyaga akiwa na simu maana ni mgeni kabisa hawajawahi kufika hata moshiSecond selection polisi hiyoView attachment 2603837
Anaweza akaenda nayo na kuikabidhi akifika.Kuna dogo langu ameitwa hivi Kuna utaratibu wa kukisanya simu pale shuleni au hatakiwi kukanyaga akiwa na simu maana ni mgeni kabisa hawajawahi kufika hata moshi
Mwezi wa nane ni Tpdf auNasubiri mwezi wa nane ukosekane tena
Wanaokuja ni kina Nani mzee tpdf au ptronja tuu,,andaeni vyeti vya udereva na ufundi ,soon tuu wa6 hapo bogi ,mwezi wa 8 ndio kozi inaanza
Mm nahis ni tpdf PT hata course hawajaaza au wameshafungua na kwa pt labda mwakan ila mwak huu hicho kitu hakiwezekanWanaokuja ni kina Nani mzee tpdf au pt
Kwa ukimya huu naona hakuna mwenye ronjaHivi hawa wa mtaani wataitwa lini.?
Any ronja..?
kihangaiko wameshaanza koziWAHUNI WANARIPOTI KIHANGAIKO MDOGO MDOGO HADI TAR 20/MAY.
MIEZI MITATU YA KUPAMBANIA KOMBE.. MUNGU AWATANGULIE WAHUNI WOTE.
au unasemea oljoro mana nayo ni det ya rts kihangaikoWAHUNI WANARIPOTI KIHANGAIKO MDOGO MDOGO HADI TAR 20/MAY.
MIEZI MITATU YA KUPAMBANIA KOMBE.. MUNGU AWATANGULIE WAHUNI WOTE.
OLJORO MKUUkihangaiko wameshaanza kozi
ahaa pamoja mkuuOLJORO MKUU