TISS Ndio mpango mzimaHv tiss wanarecruit vp ? Na Kati ya tiss na jwtz wap ndo best kama umepata connection yenye nguvu , uombe ikusaidie uende wap
nichukue na mimi twende zetu kozi mwana jf mwenzanguHv tiss wanarecruit vp ? Na Kati ya tiss na jwtz wap ndo best kama umepata connection yenye nguvu , uombe ikusaidie uende wap
Haitajii connection inahitaji akili tuMchawi connection unasema wasiombe mara wenzako wana connection kubwa wanapita wanachwa wengine hao ulowataja
JWTZ ndio mpango mzimaHv tiss wanarecruit vp ? Na Kati ya tiss na jwtz wap ndo best kama umepata connection yenye nguvu , uombe ikusaidie uende wap
Hv ngaz za malipo za hao si Sawa na majeshi mengine ya mambo ya ndani tu . Naona kama jwtz ndo shavuTISS Ndio mpango mzima
Haitajii connection inahitaji akili tu
Kwenye tangazo magereza wenyewe kama wenyewe wamewataka watu wa professional tofauti tofauti wengi tu mpka watu wa kilimo na misitu
Halafu mtu online anakuambia kama wewe sio daktari au mhasibu usiombe licha ya kozi yako kutajwa kwenye tangazo
Sasa we mwenyewe hapo utachagua unamsikiliza nani
Wewe una akili mno.....Naona mdau kama alivyoandika
“Ndio waombe na connection zao,kisha baada ya kutoka kiwira na kupangwa vituoni kwao WATALETA MREJESHO.....”
Maybe anazungumzia mazingira ya kazi utakayo pangiwa ya hizo kada nyengine ambazo anaamini eidha hazina maslahi au mazingira sio rafiki kupelekea kuto furahia fani yako.
Waziii mzeee hizii mambo zipoo dingiiKuna jamaa rafiki angu namjua hizi Ajira za walimu na madaktari zimetoka ila yeye ni mwalimu wa geography alafu kwenye tangazo hawahitajiki walimu wa Geography na history, kaniambia amepata connection nzito hivyo amepata na chomboni atakuja kuingia ni suala la Muda tu....na huyo vigezo hana imagine hapo wapo wengi tu design hii,siye tusiye na watu ndio tunaona impossible alafu tunaona kila kitu kinaendeshwa fair kwnye mchakato wa Ajira kumbe tupo wrong.me nayasema haya Sababu sina connection na nimeshuhudia wenye watu wao wametusua kirahisi tu....
Wewe una akili mno.....
Huyo jamaa yako sijamuelewa yani sasa hv anaajiriwa Tamisemi halfu baadae ndio ataingia chomboniKuna jamaa rafiki angu namjua hizi Ajira za walimu na madaktari zimetoka ila yeye ni mwalimu wa geography alafu kwenye tangazo hawahitajiki walimu wa Geography na history, kaniambia amepata connection nzito hivyo amepata na chomboni atakuja kuingia ni suala la Muda tu....na huyo vigezo hana imagine hapo wapo wengi tu design hii,siye tusiye na watu ndio tunaona impossible alafu tunaona kila kitu kinaendeshwa fair kwnye mchakato wa Ajira kumbe tupo wrong.me nayasema haya Sababu sina connection na nimeshuhudia wenye watu wao wametusua kirahisi tu....
[emoji38][emoji38] anyway sio kila kitu cha kuweka humu,,,ishini nahiyo hints nilioitoa japo kwa ufupi....Kwa hiyo mkuu kimsingi hapo unachoona kinasumbua ni Kipi kati ya hivyo; maslahi, mazingira sio rafiki au vyote kwa pamoja?
Na vipi kada hizo zingine ukipangiwa sehemu nzuri ukitoka Kiwira kama shida ni mazingira sio rafiki?
Yupo mtaani ila anapambaniwa aingie ualimu,pamoja ya kwamba yeye si mwalimu wa masomo tajwa yaliyohitajikaHuyo jamaa yako sijamuelewa yani sasa hv anaajiriwa Tamisemi halfu baadae ndio ataingia chomboni
Aaahaa hapo sawaYupo mtaani ila anapambaniwa aingie ualimu,pamoja ya kwamba yeye si mwalimu wa masomo tajwa yaliyohitajika
Waambie vijana watafute connection wasiseme sijui usiombe kama siyo fani fulani wakati ajira zenyewe za majeshiAaahaa hapo sawa
Kweli hata hao TISS humu wapo wanawachora tu munavopeana maujanja ya kuingia chomboni kiurahisi[emoji38][emoji38] anyway sio kila kitu cha kuweka humu,,,ishini nahiyo hints nilioitoa japo kwa ufupi....
Za kuambiwa changanya na zako......
Ndio hvyo kaka kwenye kupata kitu lazima uweke jitihada ...Waambie vijana watafute connection wasiseme sijui usiombe kama siyo fani fulani wakati ajira zenyewe za majeshi
HAta wangesema wanataka mainjinia tu ..sisi walimu tusingeacha kuaapply 😀😀Waambie vijana watafute connection wasiseme sijui usiombe kama siyo fani fulani wakati ajira zenyewe za majeshi