Ni ngumu kuwa na intake mbili tofauti zinazofanya kozi moja.. kinachowezekana ni intake mbili za kozi tofauti… mfano askari wapya na Makoplo au Masajenti.Pale CCP niliskia wanaeza chukus intake mbili kwa wakat mmja...ama sio?
Wenye lonja yoyote kama Third Selection ya PT itatoka mwezi Ujao (June) kujaza nafasi za ambao Bado hawajaripoti CCP.....Ni ngumu kuwa na intake mbili tofauti zinazofanya kozi moja.. kinachowezekana ni intake mbili za kozi tofauti… mfano askari wapya na Makoplo au Masajenti.
Kwa sasa kuna zaidi ya vijana 3000 wanaosubiri kuanza kozi, so hakuna ulazima (umuhimu) wa kuchukua vijana wengi waanze kozi kabla ya hawa hawajamaliza.
Dah kwaio boss kuingia kwenye chombo saiv tena ni uongo?Ni ngumu kuwa na intake mbili tofauti zinazofanya kozi moja.. kinachowezekana ni intake mbili za kozi tofauti… mfano askari wapya na Makoplo au Masajenti.
Kwa sasa kuna zaidi ya vijana 3000 wanaosubiri kuanza kozi, so hakuna ulazima (umuhimu) wa kuchukua vijana wengi waanze kozi kabla ya hawa hawajamaliza.
Kwanza PT hawajwahi kuwa na utaratibu huu official wa first au second selection. Kuna mambo yalitokea tu ndo ikabidi itengenezwe second selection.. usiwe na matarajio na third selection kabisa. two weeks to come kozi itaanza so kama una mtu anaweza kukusaidia ukaenda CCP then unaweza ukabahatika ukaingia ila usitarajie kama kutakua na official third selection.Wenye lonja yoyote kama Third Selection ya PT itatoka mwezi Ujao (June) kujaza nafasi za ambao Bado hawajaripoti CCP.....
Hapana Chief Sina mbangaKuna mbanga unaweza pata ikakusaidia kuingia PT kwa wakati huu?
Sawa Kiongozi.Kwanza PT hawajwahi kuwa na utaratibu huu official wa first au second selection. Kuna mambo yalitokea tu ndo ikabidi itengenezwe second selection.. usiwe na matarajio na third selection kabisa. two weeks to come kozi itaanza so kama una mtu anaweza kukusaidia ukaenda CCP then unaweza ukabahatika ukaingia ila usitarajie kama kutakua na official third selection.
Dah kwaio boss kuingia kwenye chombo
CCP hayo mambo yapo. Watu huwa wanaingia katikati ya kozi. Majeshi mengine sina uhakika ila JW ni ngumu kutokana na logistics zao.Sawa Kiongozi.
Vipi Kuna watu Huwa wanaingia katikati ya kozi inapoanza huko CCP au kwenye kozi za majeshi mengine?
Unatakiwa uwe na mbanga cheo gan...ndo atleast ataeza kukupambania uingie mda uuu?CCP hayo mambo yapo. Watu huwa wanaingia katikati ya kozi. Majeshi mengine sina uhakika ila JW ni ngumu kutokana na logistics zao.
Ishu sio cheo wala nini.. ishu ni nani anajuana na nani..Unatakiwa uwe na mbanga cheo gan...ndo atleast ataeza kukupambania uingie mda uuu?
Chief tumegee na za JW kinaendelea nini?Ishu sio cheo wala nini.. ishu ni nani anajuana na nani..
Kozi mwakahuuu makao lonja nakupa hioChief tumegee na za JW kinaendelea nini?
Iyo ilioanza msata peke yake?Kozi mwakahuuu makao lonja nakupa hio
Acha msata washaanza kuna bogi la makao makuuIyo ilioanza msata peke yake?
Shukrani mkuu acha tuangalie mtaani tufanye nini.Acha msata washaanza kuna bogi la makao makuu
Mkuu PT unfit ya macho inazngatiwa sana kama MT?Kozi bado haijaanza. Wa Nasubiriwa Makoplo wamalize kozi yao then waanze. Nadhani inaweza kuwa mwanzoni mwa mwezi wa 6.
NB: wale walioenda intake ya kwanza walifanyiwa vipimo, 200+ wakawa unfit wakarudishwa. Ikabidi waongeze vijana wengine intake ya pili ambao waliingia kama vijana 1000 hivi
Huko inategemea tu nani yupo nyuma yako.. Kuna mtu anajicho moja la kondoo kuna mwingine anamguu mmoja mfupi mwingine mrefu wapo wanasubiri kozi mkuuMkuu PT unfit ya macho inazngatiwa sana kama MT?
Ok , nasema hvyo kwasabbu kwenye magereza niliwah tolewa kwenye vipimo vya macho mwaka 1 nyuma, nikuwa ninatatzo la kutokuona au kutambua kitu kilichopo mita chache sana mbele,Huko inategemea tu nani yupo nyuma yako.. Kuna mtu anajicho moja la kondoo kuna mwingine anamguu mmoja mfupi mwingine mrefu wapo wanasubiri kozi mkuu
Kuna bogi lipo MMJ litapiga kozi au nafasi zitatolewa na MMJ badae au ikoje ? Ile ronja ya nafasi za kujiunga na jeshi la wananchi kwa madereva na mafundi mwezi 'May' au 'June' mwaka huu 2023 bado ipo au haina uhakika ? Nieleweshe kaka (kama unafahamu) asante.Acha msata washaanza kuna bogi la makao makuu
wale ni marine komando nao wapo pale kigamboniJana nimekutana na baka baka mitaa ya kigamboni, zipo mabio, jua kali la saa sita..
Aisee , walikuwa wametweta, na wamachafuka full combat,
Nilitaman nijiunge nao, Kwa moral.
Nahisi wapo kozi