Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Waliokuwa kozi CCP wameshamaliza,hivyo uwanja utakuwa mweupe kupokea kuruta sasa.

Lonja iliyopo nyingine ni UT wanaweza kutoa mkeka tena wa fursa kwa wenye elimu za diploma na bachelor(ni lonja tu,nisinukuliwe vibaya).
Vip kuhusu wenye fani
 
Narudia tena , Kama huna mtu huko juu, tulia tu nyumban
Unaambiwa kama unaona wewe umekata tamaa usikatishe wenzio tamaa .post zako nyingi ni kukatisha watu tamaa humu ndani nimekusoma muda tu .huyo ibilisi yupo kwako usiforce kumleta kwa watu wengine cha ajabu usikute wewe haujawahi hata kutuma maombi na usikute una maisha yako fresh unaona uwakatishe tamaa vijana .maisha haya hakuna mjuaji zaidi ya mungu hata mungu afurahishwi na wanao katisha wenzao tamaa kwenye mambo ya maana na rizik kama haya .kumkatishana tamaa ni tabia za kishetani ..take your own responsibilities
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…