Sina connection [emoji28]na maombi nimeomba sehemu zote tatu hata kama nitakosa At least nilijaribu
Try and fail don't fail to try
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Mdau unazinguaa sanaaPowa powa
Mimi sizingui boy, sema watu wanapenda kuishi kwenye over expectetationMdau unazinguaa sanaa
Huna ujualo kichwani kwako ni mweupe peeMimi sizingui boy, sema watu wanapenda kuishi kwenye over expectetation
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mjuaji amefikaSure
Mzee Ajira si Kuna kupata na kukosaMimi sizingui boy, sema watu wanapenda kuishi kwenye over expectetation
Anajiona anajua kumbe mweupe tu .watu tunamshangaa sana kukosa ni sehemu ya maisha vile vile kwaiyo yeye yupo humu ndani kukatisha watu tamaa ilihali kashajijua yeye hana vigezo kabisa .[emoji2]Mzee Ajira si Kuna kupata na kukosa
Na Mara nyingi MTU akishaona hana vigezo huwa anaanza kukatisha tamaa wengine wivu tu wakijinga chamsingi watu waombe bhanaAnajiona anajua kumbe mweupe tu .watu tunamshangaa sana kukosa ni sehemu ya maisha vile vile kwaiyo yeye yupo humu ndani kukatisha watu tamaa ilihali kashajijua yeye hana vigezo kabisa .[emoji2]
Huyo mnapotezea tu ajichatishe mwnywe.Anajiona anajua kumbe mweupe tu .watu tunamshangaa sana kukosa ni sehemu ya maisha vile vile kwaiyo yeye yupo humu ndani kukatisha watu tamaa ilihali kashajijua yeye hana vigezo kabisa .[emoji2]
Huyo mnapotezea tu ajichatishe mwnywe.
Chombo utakisikia tu kwenye bomba kijana, maana uonaonekana umekamia sanaHuna ujualo kichwani kwako ni mweupe pee
Umejaa upepo .umeshakuwa mtoa rizk sasa kama wew ni mtoaji rizk sawa ila kama ww unaenda chooni kama sisi haitokuwa unavyotaka wewe ..god over everything [emoji847] ..husda zako na jiroho yako mbaya zitagonga mwamba tafuta lakufanya wew ni nusu mchawi nusu mtu hadi dk hii ...ukishajiona unaanza kupangia watu rizk basi jua tayari uchawi upo kwenye damu yako ...Chombo utakisikia tu kwenye bomba kijana, maana uonaonekana umekamia sana
Acha Roho mbaya.Unaweza Kuta Jina Lako Halipo kwenye PDFChombo utakisikia tu kwenye bomba kijana, maana uonaonekana umekamia sana
Roho inakuuma vijana tukijiangaikia kwenye mambo ya msingi me nikipata nitamshukuru Sana mungu nikikosa sita lalamika pia ni mipango ya mungu rizik itakuja hata kwa upande mwengine sasa imagine haunijui hatujuani lkn umekunja na husda imekujaa kma ww siyo mchawi bahati ..vijana tunatafuta hatutochoka kutafuta tukikosa hapa tutapata kwengine mungu ndiyo mtoa rizk ila usitupangie tukate tamaa kama huna vigezo hujawahi hata jaribu kaa kimya huna ujualo ndugu ww ni mweupe Kabisa [emoji847][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Chombo utakisikia tu kwenye bomba kijana, maana uonaonekana umekamia sana
Jamaa ni roho mbaya imemjaa sidhani kama hata aliwahi jaribu kuomba ..anajiona mungu mtuAcha Roho mbaya.Unaweza Kuta Jina Lako Halipo kwenye PDF
Nimekubali,hakika haya Maneno ya Hekima sanaRoho inakuuma vijana tukijiangaikia kwenye mambo ya msingi me nikipata nitamshukuru Sana mungu nikikosa sita lalamika pia ni mipango ya mungu rizik itakuja hata kwa upande mwengine sasa imagine haunijui hatujuani lkn umekunja na husda imekujaa kma ww siyo mchawi bahati ..vijana tunatafuta hatutochoka kutafuta tukikosa hapa tutapata kwengine mungu ndiyo mtoa rizk ila usitupangie tukate tamaa kama huna vigezo hujawahi hata jaribu kaa kimya huna ujualo ndugu ww ni mweupe Kabisa [emoji847][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaaani isitoshe hata hatujuanii humu daaahhh Kuna watu wana Roho za wanga Sana.Kisa tu sisi tunapata Lonja Tu bado anaona wivuuJamaa ni roho mbaya imemjaa sidhani kama hata aliwahi jaribu kuomba ..anajiona mungu mtu