Punguza ujuaji kijana, binafsi nimekua nakufuatilia sana na hii ndio inakuponza sanaUKIWA NA LONJA SEHEMU UNAISIKIZIA KAUKA NAYO ,HUMU RAIA NI WENGI KULIKO MAPOTI .
WANAROHO ZA MAJUNGU NA NGONJERA, UKIPATA CHIMBO ZAMA KIMYA KIMYA KAMA MWANANGU TINO MILIONEA
Wale hua wanatakiwa kuomba barua kutoka kwa kamanda wa kikosi then anaambatanisha na vigezo takwa kisha anatuma kule anapo amini anaweza akaingilia.Aise chansi ya jkt WA kujitolea utangazwa au?
Noted champ, without any doubtPunguza ujuaji kijana, binafsi nimekua nakufuatilia sana na hii ndio inakuponza sana
Naona wataanza kwenye mwezi wa 9 katikati.Hivi wakuu TPDF course ya RTS inaendelea ile system ya miezi sita au wamerudisha ile ya miezi minne tena, maana nimesikia intake inayokuja wanaita mwezi wa nane na kwamba sasa hivi course zote ni Msata hakuna Oljoro tena, sasa tayari kuna wale walioanza tarehe 01/05 which means kama ni miezi sita wanaenda kumaliza October mwishoni sasa hawa wanaoitwa mwezi wa nane wanaenda kuanza course lini
Kweli kabisaa..Punguza ujuaji kijana, binafsi nimekua nakufuatilia sana na hii ndio inakuponza sana
Oohh kivipi mkuuNaona wataanza kwenye mwezi wa 9 katikati.
Ila mkuu kuhusu kutopiga kozi Oljoro nayo ni issue nyingine..
Wataitwa wa nane katikati,Ila kozi inaweza ikaaanza wa tisa hukoh katikati au wa kumiHivi wakuu TPDF course ya RTS inaendelea ile system ya miezi sita au wamerudisha ile ya miezi minne tena, maana nimesikia intake inayokuja wanaita mwezi wa nane na kwamba sasa hivi course zote ni Msata hakuna Oljoro tena, sasa tayari kuna wale walioanza tarehe 01/05 which means kama ni miezi sita wanaenda kumaliza October mwishoni sasa hawa wanaoitwa mwezi wa nane wanaenda kuanza course lini
Uyo jamaa mfwende yupo peace sana na niliomba kwa Maulana kipindi kile apate UT ni mtu asie na noma kabisa japo hatujuani.Punguza ujuaji kijana, binafsi nimekua nakufuatilia sana na hii ndio inakuponza sana
@mfwende sawadogo mtu poa nipo nae kwenye uzi wa utumishi kuleUyo jamaa mfwende yupo peace sana na niliomba kwa Maulana kipindi kile apate UT ni mtu asie na noma kabisa japo hatujuani.
Course itapigwa kambi gani Mkuu na kama ni Kihangaiko ina maana waliopo huko sasa hivi watapiga miezi minne auWataitwa wa nane katikati,Ila kozi inaweza ikaaanza wa tisa hukoh katikati au wa kumi
Nitakuja na jibu kesho mkuuCourse itapigwa kambi gani Mkuu na kama ni Kihangaiko ina maana waliopo huko sasa hivi watapiga miezi minne au
Nakubali mwambaNitakuja na jibu kesho mkuu
Ndio mkuu Zafrain sag tupe jibu.Nitakuja na jibu kesho mkuu
Niliyemuuliza kasema hajajua,Akipata update atanijulishaNdio mkuu Zafrain sag tupe jibu.
itakua hamna.... mbona wajumbe wapo kimya sana au ndo kimtindo wanatuchoraronja hamna
Huu mwezi hauishii watu wanaitwa.kama nauona wa 8 unavoenda kuishia
Thank u champUyo jamaa mfwende yupo peace sana na niliomba kwa Maulana kipindi kile apate UT ni mtu asie na noma kabisa japo hatujuani.