Itakuwa usiku anapuruka tu huyo [emoji2]Yaaani isitoshe hata hatujuanii humu daaahhh Kuna watu wana Roho za wanga Sana.Kisa tu sisi tunapata Lonja Tu bado anaona wivuu
Hakika hakika Mungu ni mwema wakati woteRizik atoaye ni mungu na rizk inakujaga kwa wakati kama ukifika inakuja tu yenyewe vijana wenzangu tusikatishwe tamaa na miungu watu ambao hata wao wenyew rizk wanaipata kwa mungu . Alafu kwenye maisha haya ya utafitaji wa rizik ni lazima ukutane na watu wenye husda wakatishaji tamaa pamoja na roho mbaya hawa wote ni wafuasi wa shetani tu. Never give up .never lose hope [emoji120]
Hahaha, Janja mimi siwezi kuomba kitu nachojua tapoteza muda wangu tuJamaa ni roho mbaya imemjaa sidhani kama hata aliwahi jaribu kuomba ..anajiona mungu mtu
AmenHakika hakika Mungu ni mwema wakati wote
Wewe niambie umewai itwa sehemu yeyoteItakuwa usiku anapuruka tu huyo [emoji2]
Wewe uliomba sema unaonekana kama huna matumaini mzeeHahaha, Janja mimi siwezi kuomba kitu nachojua tapoteza muda wangu tu
We mzee na ww unafeli sana huyo usimjibu achana nae.Rizik atoaye ni mungu na rizk inakujaga kwa wakati kama ukifika inakuja tu yenyewe vijana wenzangu tusikatishwe tamaa na miungu watu ambao hata wao wenyew rizk wanaipata kwa mungu . Alafu kwenye maisha haya ya utafitaji wa rizik ni lazima ukutane na watu wenye husda wakatishaji tamaa pamoja na roho mbaya hawa wote ni wafuasi wa shetani tu. Never give up .never lose hope [emoji120]
Wakuu naomba mfano wa barua ya jeshi la magereza kwenye anuani inakoenda.
Choo Cha Kulipia,Wakuu naomba mfano wa barua ya jeshi la magereza kwenye anuani inakoenda.
Magereza form six tunatuma wapi?View attachment 1968011
Kama una TAALUMA maombi yanaenda kwenye anuani hio [emoji3516][emoji3516]
Magereza form six tunatuma wapi?
Vijana msikate tamaa,awamu hii ajira zipo kulinganisha na awamu iliyopita.Fungeni mikanda na msikate tamaa,wapo wataowatisha kuwa bila hiki bila huyu hutoboi ila siyo kweli mpaji ni Mungu.
Lonja ni mwezi ujao.Ngoja mambo ya ndani wachukue watu wao.Tpdf lini mzee..
Lonja ni mwezi ujao.Ngoja mambo ya ndani wachukue watu wao.
kwani umeambiwa unaenda kutibu au kulinda wafungwaWakubwa Mimi nauliza kuhusu hospitali za magereza,je kila gereza lina hospitali..?? Au imekaaje hii..
Maana naona magereza upande wa afya wametaka watu wa diploma tuu ,,,sasa najiuliza vipi ukijataka kujiendeleza kwenye proffesion yako (afya) hawatosumbua kweli.?