Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Rizik atoaye ni mungu na rizk inakujaga kwa wakati kama ukifika inakuja tu yenyewe vijana wenzangu tusikatishwe tamaa na miungu watu ambao hata wao wenyew rizk wanaipata kwa mungu . Alafu kwenye maisha haya ya utafitaji wa rizik ni lazima ukutane na watu wenye husda wakatishaji tamaa pamoja na roho mbaya hawa wote ni wafuasi wa shetani tu. Never give up .never lose hope [emoji120]
Hakika hakika Mungu ni mwema wakati wote
 
Rizik atoaye ni mungu na rizk inakujaga kwa wakati kama ukifika inakuja tu yenyewe vijana wenzangu tusikatishwe tamaa na miungu watu ambao hata wao wenyew rizk wanaipata kwa mungu . Alafu kwenye maisha haya ya utafitaji wa rizik ni lazima ukutane na watu wenye husda wakatishaji tamaa pamoja na roho mbaya hawa wote ni wafuasi wa shetani tu. Never give up .never lose hope [emoji120]
We mzee na ww unafeli sana huyo usimjibu achana nae.
 
Wakuu naomba mfano wa barua ya jeshi la magereza kwenye anuani inakoenda.
 
Wakuu naomba mfano wa barua ya jeshi la magereza kwenye anuani inakoenda.

IMG_7644.jpg

Kama una TAALUMA maombi yanaenda kwenye anuani hio [emoji3516][emoji3516]
 
Wakuu naomba mfano wa barua ya jeshi la magereza kwenye anuani inakoenda.
Choo Cha Kulipia,
S.L.P 0,
Dar es Salaam,Tanzania,
+255 000 000 000
4 Oktoba 2021.
Anuani ya Jeshi inakoenda.

Yah:Nafasi ya Ajira katika Jeshi la..

Tafadhali rejea kichwa cha habari tajwa hapo juu.

Mimi Choo Cha Kulipia,mwenye umri wa miaka 0,kijana wa Kitanzania,mwenye elimu ya darasa la 7B kutoka Shule ya Msingi JF na cheti cha kuhitimu mafunzo katika Jeshi la Kujenga Taifa Operesheni Vyama Vingi(Kujitolea) kati ya mwaka 1991-1993,ninayo furaha kuomba nafasi ya kujiunga na mafunzo ya awali ya Jeshi la..

Mimi ni kijana mzalendo kwa Taifa langu na mwenye ari na utayari kulitumikia Jeshi la.. popote pale itapoonekana inafaa muda na wakati wowote.

Natanguliza shukurani zangu za dhati.

Wako katika Ujenzi na Ulinzi wa Taifa,

(Hii sio word kwaiyo haijakaa vema,ila kama unajua andika barua utaelewa mkuu)

Credit to Choo Cha Kulipia
 
Magereza form six tunatuma wapi?

Naona magereza hawajahitaji form six.....ila ni form 4 na wenye taaluma.
-form four unatuma maombi kwenye anuani ya mkuu wa gereza la wilaya lililo karibu yako.
 
Vijana msikate tamaa,awamu hii ajira zipo kulinganisha na awamu iliyopita.Fungeni mikanda na msikate tamaa,wapo wataowatisha kuwa bila hiki bila huyu hutoboi ila siyo kweli mpaji ni Mungu.
 
Vijana msikate tamaa,awamu hii ajira zipo kulinganisha na awamu iliyopita.Fungeni mikanda na msikate tamaa,wapo wataowatisha kuwa bila hiki bila huyu hutoboi ila siyo kweli mpaji ni Mungu.

Tpdf lini mzee..
 
Wakubwa Mimi nauliza kuhusu hospitali za magereza,je kila gereza lina hospitali..?? Au imekaaje hii..
Maana naona magereza upande wa afya wametaka watu wa diploma tuu ,,,sasa najiuliza vipi ukijataka kujiendeleza kwenye proffesion yako (afya) hawatosumbua kweli.?
 
Kujiendeleza yaan diploma to degree na kuendelea...
 
Wakubwa Mimi nauliza kuhusu hospitali za magereza,je kila gereza lina hospitali..?? Au imekaaje hii..
Maana naona magereza upande wa afya wametaka watu wa diploma tuu ,,,sasa najiuliza vipi ukijataka kujiendeleza kwenye proffesion yako (afya) hawatosumbua kweli.?
kwani umeambiwa unaenda kutibu au kulinda wafungwa
 
Back
Top Bottom