Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Pamoja kiongozi asante Kwa update
 
Vipi kuhusu PT?
 
Haha nazingua tu mkuu mimi nimewaza mbali tu vitu kama kubadili mzunguko wa sayari, kutengeneza nishati nk ukifikiria sana havitaisha, lakini kwa haraka haraka ni sahihi kwamba kinachoshindikana ni kurudisha muda nyuma na uhai wa mtu basi
hivi vya sayari sjui mambo ya teknolojia em tuwaachie wazungu kwanza.... ila haya mambo ya ajira hapa TZ aah watu wanachekecha tu unaweza ukatemwa dakika za mwisho kabsa af unabaki unashanga tu..... namna gani pale "in the late mwalimu kashasha voice"[emoji28][emoji28]

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Apo kwenye kutemwa vip kwama ushaitwa alafu uambiwe hufai au😁
 
Hahaha duh apo kweli unaweza ukambiwa hufai mguu wako mmoja mrefu mmoja mfupi ukijiangalia ww mwenyewe unaenda fresh ila ñdio ivo
yani ukiona hvo ujue kuna mwana kama wewe ndo wanamchekechea apo wanakuengua anaingia yeye... koo mambo haya hata wakisema wewe una ngoma wala usipanic nenda kapime tu tena wala usikimbilie doz

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Haha nazingua tu mkuu mimi nimewaza mbali tu vitu kama kubadili mzunguko wa sayari, kutengeneza nishati nk ukifikiria sana havitaisha, lakini kwa haraka haraka ni sahihi kwamba kinachoshindikana ni kurudisha muda nyuma na uhai wa mtu basi
utapewa kasoro ambayo mpaka wewe mwenyewe unabaki kujiuliza imekuajee[emoji38] oya tz michongo sana mzee mwenzangu

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Nachombeza kidogo Unaweza ukaambiwa ww ukila ukishiba unabehua, kwahyo upo unfit,unawekwa pembeni
 
Yeah mkuu ndio maana nikasema tukifikiria sana vitu vinavyoshindikana ni vingi haviishi, hii nchi kwenye ajira hakuna linaloshindikana asee, kuna ndugu yangu mwaka jana alizama TISS hii kambi yao ya Mbweni na hakuwa na cheti cha jakata

Sasa hivi kashamaliza course yuko zake kazini, watu huko vyomboni wanaingia tu kuna mtu ana vigezo vyote anachomolewa na kuna mtu hana vigezo vingi ila anapita bila kupingwa, wengine nasikia wanaingia katikati ya course hata baada ya six weeks kuisha

Mimi huwa najisemea kwa hatua hii niliyofikia sidhani kama kuna cha kunishangaza tena, maana hii nchi yetu wengi ishatushangaza hadi tushakuwa masugu, ukijumlisha na mambo tuliyopitia kwenye maisha yetu yani hatuoni cha ajabu wala kipya tena
 
NAomba nichombeze kidogo kaka ..kuna wengine hata kozi hawaendi..mojakwa moja wanazama kazini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…