Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Jamaa wa Ikuru kanipigia ila nilikuwa mbali na simu ngoja saa 12 Jioni niende kwake Nina jambo nae dhidi ya ndugu yangu ambae mwezi wa 10 anamaliza mkataba JKT afanye namna bhan
 
Msitarajie maajabu kwenye hizi nafasi zilizo tangazwa, this are to-up posts
 
Mkuu Ushimen ongea chochote kinaweza kusaidia vijana kwenye kuzikimbiza ndoto zao.
semea kitu hapa chief
Fanya hesabu hivi......
Kwa muda ambao last intake imepita, then hadi walipo tangaza awamu hii ni jambo la kawaida ama interval ni yamuda gani..??
Kisha, angalia idadi ya walioitwa kwenye usahili kwa Tanzania bara kama inafikia hata idadi ya robi kwawalio chukuliwa kujiunga PT last intake...??
Then ukipata majibu hapo jiongeze.
 
Fanya hesabu hivi......
Kwa muda ambao last intake imepita, then hadi walipo tangaza awamu hii ni jambo la kawaida..??
Kisha, angalia idadi ya walioitwa kwenye usahili kwa Tanzania bara kama inafikia hata idadi ya robi kwawalio chukuli kujiunga PT last intake...??
Then ukipata majibu hapo jiongeze.
nimekupata vzuri.
 
Fanya hesabu hivi......
Kwa muda ambao last intake imepita, then hadi walipo tangaza awamu hii ni jambo la kawaida ama interval ni yamuda gani..??
Kisha, angalia idadi ya walioitwa kwenye usahili kwa Tanzania bara kama inafikia hata idadi ya robi kwawalio chukuliwa kujiunga PT last intake...??
Then ukipata majibu hapo jiongeze.
Hii nchi ni ngumu 'kweri kweri'[emoji28]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii nchi ni ngumu 'kweri kweri'[emoji28]

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna jamaa wa huko tulikua tunajadili nae hili jambo na akawa anasema kwamba.......
Kwa idadi hii ilivyo very limited, bora wange enda kwenye makambi ya JKT kisha wakafanya usahili kule kimya kimya bila ya kutangaza na wakachukua hao wachache wanao wahitaji.
 
Kuna jamaa wa huko tulikua tunajadili nae hili jambo na akawa anasema kwamba.......
Kwa idadi hii ilivyo very limited, bora wange enda kwenye makambi ya JKT kisha wakafanya usahili kule kimya kimya bila ya kutangaza na wakachukua hao wachache wanao wahitaji.
Hizo nafas wenyewe pia kwa taarifa zlizopo wamesema ni chache mno ni za kuongezea tu kwa hio mbanga zinasuguana kiukweli ngumu kushinda maelezo
 
Back
Top Bottom