Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Sema nlichogundua humu mitandaoni fata Yako tu, tunavyowatukanaga polisi humu ndani huwezi kuamini kama hiyo kazi inatafutwa kiasi hiki.
Kila la heri jamani mpaka kieleweke, Kila mtu na maisha yake.
masuala ya kuwatukana em achana nayo kwanza... kikubwa tupate sehem unajua kukikucha unakwenda wap baasi

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
masuala ya kuwatukana em achana nayo kwanza... kikubwa tupate sehem unajua kukikucha unakwenda wap baasi
10 years back hapa ndani, kuna dada alikuaga anaponda sana wanaume, basi baada ya miaka kadhaa nikaona nayeye ameweka tangazo kwamba anatafuta mwanaume wa kumuoa mwenye sifa za kuitwa baba na kusimamia/kuiongoza familia (ilimradi mwanaume huyo awe anapumua tu)...🤣🤣🤣
 
10 years back hapa ndani, kuna dada alikuaga anaponda sana wanaume, basi baada ya miaka kadhaa nikaona nayeye ameweka tangazo kwamba anatafuta mwanaume wa kumuoa mwenye sifa za kuitwa baba na kusimamia/kuiongoza familia (ilimradi mwanaume huyo awe anapumua tu)...[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
kuna muda malengo nayo inabidi yaendane na uhalisia.... ndio yale yale umemalza chuo unasema chin ya mia 7 sipig kaz mambo yakikaza aah mwenyewe unajipeleka kwenye mia 3

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom