Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Inaomekana kama hii kazi ni ya majitu yaliyofeli shule wanaamini div 4 kazi ya kushika bunduki inamfaa sana
 
Ukipata chaka uraiani linatema hela bora uende kuliko kuingia huku kwenye kupiga salute kijana ila mwisho wa siku kila mtu ana njia yake
Nimekusoma afande japo wengi tunapenda reputation ya kuwa miongoni mwa waliomo ndani ya hvi vyombo vya ulinzi.

Ngoja tuendelee kupambana
 
Kijana majeshi aliyakacha ingawa nafasi alikuw nayo ila kuna NGO ya wamarekani yupo huko anakula hela
Nilisema mimi jamaa hajazama chombo chochote, sema tu ni vile wengi tunadhani mtu ambaye ni active member wa huu uzi ikitokea kapotea ghafla basi lazima atakuwa amezama huko, kumbe wengine wanapata sehemu nyingine au wanaamua tu kuachana na hizi nyuzi za vyomboni
 
Vijana tusahau vyote lakini sio leaving certificates na Cheti cha la Saba hasa wenye taaluma na hawana mbanga
Hapo Cheti cha la Saba sasa...wengine tulijifanya wajuaji tukavuka darasa
 
Back
Top Bottom