Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Vijana tusahau vyote lakini sio leaving certificates na Cheti cha la Saba hasa wenye taaluma na hawana mbanga
Kwa hiyo waliosoma QT na PC ambao hawapati vyeti vya kuhitimu shule, ila sifa zingine wanazo mfano umri, afya n.k nafasi za JKT, JWTZ, PT, Uhamiaji, MT n.k haziwahusu wasijisumbue kabisa au ?
 
Acha dharau we mjinga, watu unaowatukana ndio wanaokulindia nchi mpaka unapata kiburi cha kuandika takataka hii.

Jaribuni kutembelea mipakan huko haswa karibu na nchi zisizo na amani , utalishukuru jeshi letu.

Wenzenu hawalali nyie vilaza wachache mnaleta dharau.

Haya wew na akili zako gundua ndege sasa wasio na akili wapande.

Ungekuwa karibu ningekupa adabu
Kuna watu huwa wanasema wanawachukia sana polisi ...nawaangaliaga tu basi
 
Nimetoka kumuliz apa mtu amejibu ivyo ila badae nitampigia cm nitaongea nae vzr thn nitakuja na jibu la uwakika
 

Attachments

  • 0921DAE1-CF9D-4EBC-AA15-25913DBED80D.jpeg
    0921DAE1-CF9D-4EBC-AA15-25913DBED80D.jpeg
    93.5 KB · Views: 10
Wakuu nisaidieni hizi ajira za polisi ndio zile zilizomo kwenye budget kua wataajiri 2000 au ni zipi hizi maan katika budget Yao wamesem wataajiri askar 2000 naomba majibu pliz kwa anaejua[emoji120]
 
Wakuu nisaidieni hizi ajira za polisi ndio zile zilizomo kwenye budget kua wataajiri 2000 au ni zipi hizi maan katika budget Yao wamesem wataajiri askar 2000 naomba majibu pliz kwa anaejua[emoji120]
Au watakuja tena pt kwa mwak 2023_2024??
 
Back in days.
Huu uzi ulikuwa ni kama faraja yangu ya kutafuta fursa hizi nikiwa na Id yangu ya LYOBA.
Nililiwa kichwa mapema sana kwenye saili za mwezi wa 1 za Polisi.


Nilichanganyikiwa sema pia panicking ilikuwa inafaida kwa muda huo.

Nina kielimu na ni mtaalamu wa Physics since high school though sio mwalimu.
Basi nikapata chaka (Shule) mwezi wa pili hiyo nikawa nalipwa 200k Chakula nakula scul hapo hapo.
Buddy nilikubalika hapo maskuli jina likasambaa sana kwamba ni mtata(wananiita Eisten siku hizi).
Buddy huwez amini kuna shule za watu wenye hela zao wakaja mwez wa 6 wakanichukua , wananilipa 500k bila makato na nakula shule na nyumba nimepewa(Alhamdulillah).
Kwasasa nawaza nifanye vizuri mwakani nimalize nina kimtaji cha kuanzia maisha maana kazi za private hazina dhamana.

Tusikate tamaa wapambanaji, Mwenyezi mungu anamipango mizuri sana na sisi.
 
Back in days.
Huu uzi ulikuwa ni kama faraja yangu ya kutafuta fursa hizi nikiwa na Id yangu ya LYOBA.
Nililiwa kichwa mapema sana kwenye saili za mwezi wa 1 za Polisi.


Nilichanganyikiwa sema pia panicking ilikuwa inafaida kwa muda huo.

Nina kielimu na ni mtaalamu wa Physics since high school though sio mwalimu.
Basi nikapata chaka (Shule) mwezi wa pili hiyo nikawa nalipwa 200k Chakula nakula scul hapo hapo.
Buddy nilikubalika hapo maskuli jina likasambaa sana kwamba ni mtata(wananiita Eisten siku hizi).
Buddy huwez amini kuna shule za watu wenye hela zao wakaja mwez wa 6 wakanichukua , wananilipa 500k bila makato na nakula shule na nyumba nimepewa(Alhamdulillah).
Kwasasa nawaza nifanye vizuri mwakani nimalize nina kimtaji cha kuanzia maisha maana kazi za private hazina dhamana.

Tusikate tamaa wapambanaji, Mwenyezi mungu anamipango mizuri sana na sisi.
Big up, champion
 
Niaje....hivi kwa sisi tuliopitia mjibu wa shaeria tunaweza omba hizi nafasi za jkt au ndo shughuli imeisha tayari
 
Niaje....hivi kwa sisi tuliopitia mjibu wa shaeria tunaweza omba hizi nafasi za jkt au ndo shughuli imeisha tayari
Kama ulishapita jkt na ukapewa force namba ndo basi tena.Kuna washkji zangu tulipiga wote mujibu waliendaga tena mwaka jana kujitolea wakarudishwa ila wengine walibakizwa(Watt wa wakubwa) hawakukaa sana jkt mwaka jana mwez wa 10 wakaingia kozi TPDF so kma huna connection watakurudisha.
 
Back
Top Bottom