Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

kwa graduate nashauri usifanyie usahili mikoa iliyochangamka,mfano mimi nilitoka nyumbani nikaenda wiliya moja huko kusini ilikua inaanzishwa hata sikutafuta connectio sababu elimu yangu haikuwa na upinzani mkubwa na vijana wengi wakule walikua wanadili na kuuza korosho na wanahela ,baada ya uchunguzi wangu nikagundua kule ninaweza nikapita nikasema liwalo na liwe ngoja niende hukohuko
 
kwa graduate nashauri usifanyie usahili mikoa iliyochangamka,mfano mimi nilitoka nyumbani nikaenda wiliya moja huko kusini ilikua inaanzishwa hata sikutafuta connectio sababu elimu yangu haikuwa na upinzani mkubwa na vijana wengi wakule walikua wanadili na kuuza korosho na wanahela ,baada ya uchunguzi wangu nikagundua kule ninaweza nikapita nikasema liwalo na liwe ngoja niende hukohuko
Muendelezo mpka ukatoboa.
 
Ivii tunapaswa kupeleka izo barua wap kwa mkuu wa mkoa au wilaya pia naomba kujua mwisho kutuma maomb ni lini aliyeelew vzr iyoo tangoza ya jkt
 
Ivii tunapaswa kupeleka izo barua wap kwa mkuu wa mkoa au wilaya pia naomba kujua mwisho kutuma maomb ni lini aliyeelew vzr iyoo tangoza ya jkt
unapeleka barua kwa mkuu wa wilaya huko utakutana na mshauri wa mgambo atakupa full details... then wao wilayan watafanya setup ya usaili kwa wilaya husika after hapo waliopta wanaendelea mkoani na kila mkoa unakua na siku yake ya usaili kutokana na idadi ya wanaoomba nafasi... naomba kuwasilisha

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
usahili wa jkt mchawi wilayani tuu ukishapita wilayani huko mbele ni vipimo tuu
 
Mr banks atakua alizama Uhamiaji muda sana ...yule maelekezo yake ni makubwa sana.
yaah kama yuko UT wanakaribia kuapa, coz kama ratiba hazitoenda tofauti november watakuja tena.

daah, watoto wa vigogo wanaraha sana hawanaga time na lonja wala pressure yoyote wao nikutinga vyomboni kiulaini sana
 
Nikuibie siri tu kidogo Jamaa aliulizwa unataka wapi Jeshi ,polisi au uhamiaji ..
wakat ww unawaza kuitwa kwenye usahili yeye alikua anawaza anunue track ngapi za kukimbilia mabio😅😅😅
yaah kama yuko UT wanakaribia kuapa, coz kama ratiba hazitoenda tofauti november watakuja tena.

daah, watoto wa vigogo wanaraha sana hawanaga time na lonja wala pressure yoyote wao nikutinga vyomboni kiulaini s
 
yaah kama yuko UT wanakaribia kuapa, coz kama ratiba hazitoenda tofauti november watakuja tena.

daah, watoto wa vigogo wanaraha sana hawanaga time na lonja wala pressure yoyote wao nikutinga vyomboni kiulaini sana
Huyo MrBanks alibadili ID sasa hivi anajiita BlackHermito, na sidhani kama alizama kwenye chombo chochote japo inaonekana mbanga anayo, last activity yake JF ni Mwezi wa Sita sema labda kaamua tu kuachana na hizi nyuzi za vyomboni
 
Back
Top Bottom