Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Hizo nafas wenyewe pia kwa taarifa zlizopo wamesema ni chache mno ni za kuongezea tu kwa hio mbanga zinasuguana kiukweli ngumu kushinda maelezo
Kuna mibanga
Kuna maelekezo
Kuna wanasiasa
Kuna mamlaka
Basi imekua tafrani nguo kuchanika maana dahhh....
 
Kuna chief imerusha jina lake tangia juz kwa mbanga yake ana was was kama atapita maan mbanga yake ilimwambia mpka jina lishushwe ndo atalifanyia maarifa lakin dogo ana was was balaa
 
Midahii majina yapo viwandani yanachakatwa baada ya zoezi la jana na leo kua la vutankuvute.
 
Kutakuwa na usaili mwengine tena????????
Yes, kwanza walikua kwenye hatua ya ukaguzi wa vyeti, ukaguzi wa mwili na vipimo vya urefu.
Nafikiri baada ya mchujo, kesho ndipo wataingia kwenye kinyang'anyiro cha pili ambao itakua ni written
 
Makamanda...samahani nilituma barua polisi juzi ila ni mtu alinipelekea sababu me nilikuwa mbali
Sa katika kutuma vyeti nikasaau kumtumia namba za nida...kwaio alivyopeleka hakuweka..

Sa wanangu apo ntaitwa kweli kwenye usaili ata au ndo nishadisqualify juu kwa juu?
Unaomba kazi mnazowatukana kila siku

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yes, kwanza walikua kwenye hatua ya ukaguzi wa vyeti, ukaguzi wa mwili na vipimo vya urefu.
Nafikiri baada ya mchujo, kesho ndipo wataingia kwenye kinyang'anyiro cha pili ambao itakua ni written

Midahii majina yapo viwandani yanachakatwa baada ya zoezi la jana na leo kua la vutankuvute.
Kiongozi samahani sjaelewa hapa hayo majina ni ya zile nafasi za mwezi March au vp ?
 
Back
Top Bottom