Wadau hawataki kutoa lonjaPolisi pepa likoje??? Uko
Ulienda kuona jina lako,na umejiona??Polisi pepa likoje??? Uko
humu kila mtu anateseka kivyake[emoji28]Iv wadau JKT mwaka huu vipi mbona kama wamechelewa??
njia za kutokea zitafunguka tu kwa kila mmojahumu kila mtu anateseka kivyake[emoji28]
🙏njia za kutokea zitafunguka tu kwa kila mmoja
hawajachelewa mbona mwaka jana walitangaza hzo nafasi tarehe 25/8 if not mistaken.... koo skilizia tu goma inaonekana linakaribia ukizingatia wale wa mujibu wanakaribia kumaliza koz yao... naomba kuwasilishaIv wadau JKT mwaka huu vipi mbona kama wamechelewa??
Mkuu Ushimen ongea chochote kinaweza kusaidia vijana kwenye kuzikimbiza ndoto zao.Yani nawaangaliaaaaaa......
Mwisho naishia kusema tu, usilo lijua ni sawa na usiku wa giza.
semea kitu hapa chiefYani nawaangaliaaaaaa......
Mwisho naishia kusema tu, usilo lijua ni sawa na usiku wa giza.
Msitarajie maajabu kwenye hizi nafasi zilizo tangazwa, this are to-up posts
Mkuu Ushimen ongea chochote kinaweza kusaidia vijana kwenye kuzikimbiza ndoto zao.
Fanya hesabu hivi......semea kitu hapa chief
nimekupata vzuri.Fanya hesabu hivi......
Kwa muda ambao last intake imepita, then hadi walipo tangaza awamu hii ni jambo la kawaida..??
Kisha, angalia idadi ya walioitwa kwenye usahili kwa Tanzania bara kama inafikia hata idadi ya robi kwawalio chukuli kujiunga PT last intake...??
Then ukipata majibu hapo jiongeze.
Asante kwa kunielewa mkuu.nimekupata vzuri.
mambo ni tafraniAsante kwa kunielewa mkuu.
Yaani hadi sasa huko kwenye michakato pamesha tokea tafrani kwelikweli....🤨
Hii nchi ni ngumu 'kweri kweri'[emoji28]Fanya hesabu hivi......
Kwa muda ambao last intake imepita, then hadi walipo tangaza awamu hii ni jambo la kawaida ama interval ni yamuda gani..??
Kisha, angalia idadi ya walioitwa kwenye usahili kwa Tanzania bara kama inafikia hata idadi ya robi kwawalio chukuliwa kujiunga PT last intake...??
Then ukipata majibu hapo jiongeze.
Kuna jamaa wa huko tulikua tunajadili nae hili jambo na akawa anasema kwamba.......
Hizo nafas wenyewe pia kwa taarifa zlizopo wamesema ni chache mno ni za kuongezea tu kwa hio mbanga zinasuguana kiukweli ngumu kushinda maelezoKuna jamaa wa huko tulikua tunajadili nae hili jambo na akawa anasema kwamba.......
Kwa idadi hii ilivyo very limited, bora wange enda kwenye makambi ya JKT kisha wakafanya usahili kule kimya kimya bila ya kutangaza na wakachukua hao wachache wanao wahitaji.