Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Wewe ni kilaza wa mwisho tena...kama hujui ni bora unyamaze tu

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]....halafu akiambiwa ukweli anasema huna nidhamu duh,,,aya buana tumsamehe bureee tu hana analolijua.
 
Magereza mengi yanakuwa na dispensary zao kwa ajili ya kuhudumia maradhi madogomadogo ya wafungwa pamoja na familia za wafanyakaz wanaokaa eneo la magereza...case kubwa huwa wanarefer to the higher level...kuhusu kujiendeleza nadhan itategemea na uhitaji wao mkuu,
 

Apo Sawa [emoji120]
 
Yani wewe pia ni kilaza kwa kushindwa kutambua hao unaowaita vilaza watapewa majukumu yapi
Nadhani umefeli interview ndo mana una bwabwaja

Kada za jeshi au Uwalimu hazihitaji uajiri waliofeli regardless of position....Kama unataka form iv au vi basi wawe walifaulu sio vilaza division 5.
 
Ivi majina uhamiaji wanaweza wakatoa lini kwa usahili mkuu, Mwenye kujua atujuze tafadhali

Mmh hapo ni ngumu kujua sababu hata deadline ya kufanya application bado haijafika,,,mwisho tar 13 October
 
Kuna mtu namuandikia barua sasa sijajua jinsi ya kuandika anuani ya muandikiwa kwa mwenye uelewa anisaidie yy yupo dar wilaya ya temeke anataka kutuma magereza sasa pale wamesema anuani iende kwa mkuu wa gereza sehemu husika je kwa temeke gereza lipo?? Na anuani naandika kwa s.l.p gani??? Msaada jaman kama unaweza niandikie apa

NB; BARUA SIO YANGU NI YA MDOGO WANGU MIMI SINA VIGEZO VYA APO. ...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…