Twyn
JF-Expert Member
- Dec 19, 2020
- 993
- 550
kwani umeambiwa unaenda kutibu au kulinda wafungwa
Usikaze fuvu wewe..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwani umeambiwa unaenda kutibu au kulinda wafungwa
kwani umeambiwa unaenda kutibu au kulinda wafungwa
Usikaze fuvu wewe..
umekosa nidhamu wwKama huna unachokielewa tuliza mshonoo
umekosa nidhamu ww
Wewe ni kilaza wa mwisho tena...kama hujui ni bora unyamaze tukwani umeambiwa unaenda kutibu au kulinda wafungwa
Wewe ni kilaza wa mwisho tena...kama hujui ni bora unyamaze tu
Magereza mengi yanakuwa na dispensary zao kwa ajili ya kuhudumia maradhi madogomadogo ya wafungwa pamoja na familia za wafanyakaz wanaokaa eneo la magereza...case kubwa huwa wanarefer to the higher level...kuhusu kujiendeleza nadhan itategemea na uhitaji wao mkuu,Wakubwa Mimi nauliza kuhusu hospitali za magereza,je kila gereza lina hospitali..?? Au imekaaje hii..
Maana naona magereza upande wa afya wametaka watu wa diploma tuu ,,,sasa najiuliza vipi ukijataka kujiendeleza kwenye proffesion yako (afya) hawatosumbua kweli.?
Magereza mengi yanakuwa na dispensary zao kwa ajili ya kuhudumia maradhi madogomadogo ya wafungwa pamoja na familia za wafanyakaz wanaokaa eneo la magereza...case kubwa huwa wanarefer to the higher level...kuhusu kujiendeleza nadhan itategemea na uhitaji wao mkuu,
Yani wewe pia ni kilaza kwa kushindwa kutambua hao unaowaita vilaza watapewa majukumu yapi
Nadhani umefeli interview ndo mana una bwabwaja
MmmmmmhhhhhKada za jeshi au Uwalimu hazihitaji uajiri waliofeli regardless of position....Kama unataka form iv au vi basi wawe walifaulu sio vilaza division 5.
Anauani ya uhamiaji kwa kidato cha sita inapoenda msaada wakuu
Unaposema taaluma n kuanzia aliyesoma veta au ni kuanzia certificate na kuendlea msaada hapo boss??Uhamiaji pia hawajataka kidato cha sita....ni form four na wenye taaluma.
Unaposema taaluma n kuanzia aliyesoma veta au ni kuanzia certificate na kuendlea msaada hapo boss??
Ivi majina uhamiaji wanaweza wakatoa lini kwa usahili mkuu, Mwenye kujua atujuze tafadhaliView attachment 1968943
Taaluma wanazotaka uhamiaji ni hizo [emoji3516][emoji3516]
Ivi majina uhamiaji wanaweza wakatoa lini kwa usahili mkuu, Mwenye kujua atujuze tafadhali