Dahhh tutafika tu mkuu mm kuna wana nimewaskia hawaend kabisa Wana maelekezo kutoka juuMkuu punguza Mteru.
Hamna sehemu yenye mapuuza kama PT.
Usahili wa professional mnaweza mkaitwa 2500+ ila wakachukua watu wao 100 tu tena wenye maelekezo mazito shida yao wawapige 10k za vipimo tu..
Kikubwa andaa 'mifumo' na wewe upenye.
Ndio hivyo mkuu.Dahhh tutafika tu mkuu mm kuna wana nimewaskia hawaend kabisa Wana maelekezo kutoka juu
Oya hao watu washawahi kwenda JKT kwa kujitolea au..wamepigiwa simu ndio waende JKT.Nina wana wawili wamepigiwa sim wanaelekea Ruvu.. sasa sielew n issue gan au wanakusanyika tuu pale af wanatembea.. mwisho kwenda n kesho 29/10
Oya hao watu washawahi kwenda JKT kwa kujitolea au..wamepigiwa simu ndio waende JKT.
Ukijibiwa naomba unitag mzee mi mwenyewe kesho nina kipengereWakuu ivi wanoitwa usahili wa polisi huwa wanaulizwa maswali gani huko ?
UPo zanzibar au tanzania bara?Ukijibiwa naomba unitag mzee mi mwenyewe kesho nina kipengere
Nipo Tbara nduguUPo zanzibar au tanzania bara?
Nipo Tbara ndugu
sio poa chiefWatu wanakata tamaa
Ndoige nyingi kakaWatu wanakata tamaa
Mzee hv mtu ukiingia jkt ya kujitolea unawezaje kukosa kaz, jw,pt,MT?Ndoige nyingi kaka
Mzee hv mtu ukiingia jkt ya kujitolea unawezaje kukosa kaz, jw,pt,MT?Uzi umepoa kwa sasa watu wamekata tamaa majeshi hayaelewek ni mwendo wa maelekezo tu kutoka juu ila watoto wa maskin ndio tunaumia aisee
Jaribu kuingia uone.Mzee hv mtu ukiingia jkt ya kujitolea unawezaje kukosa kaz, jw,pt,MT?
Hahaa mzee mi najuaga ni hvyo, sababu kuna watu waliingia naona walifanikiwa, mm nilizaliwa ili niwe mwalimu mkuu.Jaribu kuingia uone.
Raha ya ngoma uingie uicheze.