NAJYUZ
JF-Expert Member
- May 10, 2021
- 1,981
- 3,475
Jana Makamanda 3000+ walimaliza intake ya 41 pale Kihangaiko mbele ya Mkuu wa utawala jeshini Meja Jenerali Marco Kaguti.
Intake iliingia Mei mosi ikamaliza jana.
Hivyo basi wale watu mambo yashaanza kuiva hivyo.. kwahiyo mambo soon yanajipa.
Katika siku kama hizi watu wengi hua wanatapeliwa kwahyo tuwe makini makamanda.
Intake iliingia Mei mosi ikamaliza jana.
Hivyo basi wale watu mambo yashaanza kuiva hivyo.. kwahiyo mambo soon yanajipa.
Katika siku kama hizi watu wengi hua wanatapeliwa kwahyo tuwe makini makamanda.