Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

vijana wa St. Peter na makumbusho lonja sipoje mkuu
 
mwakani hali ikiendelea hivi nitongoze hata mkuu wa wilaya mmoja mzuri mzuri nimuahidi NDOA ili anihakikishie nafasi hata ya magereza[emoji2]
Afadhali wewe, unaweza kuinteract hata na hao mkuu. Sisi wengine kukutana na huyo mkuu wa wilaya ni mpaka itokee sherehe ya mwenge ndio anaonekana mtaani kwetu. Sema roho inauma sana kuwa mnyonge kiasi hiki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…