Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Wakuu nimejitupia zangu SGA security.napambana na life na kuitetea familia yangu dhidi ya shida/umaskini.

Ajira za serikalini ni kizungumkuti sana nimepambana sana lkn kukaa na kutegemea issue usiyo na uhakika ni kiza cha fikra

Karibuni kwenye ajira za ulinzi wazi maafande
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…