Zafrain sag
JF-Expert Member
- Sep 14, 2019
- 238
- 354
Sawa mkuuPoa mkuu..ukipata lonja tu share pamoja humu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa mkuuPoa mkuu..ukipata lonja tu share pamoja humu.
Sawa mkuu
Ndio..wanatka kuongezea kwenye bogi lililoondka mwezi was 10 but huwezi just wanaweza wakaongza ila sidhani.Kwa hio nafas ni chache sana mbona wanafany hivo sasa kutoa kidogo kidogo
Wahuni strory hizo atacha usahil wa police asubir tpdgJuzi wakati wa usahili wa Polisi kuna Koplo mmoja wa JW alisema wao watakuja december tena kuchukua watu wengi tu. Ila sasa ni mtu wa story nyingi sana kwahiyo sijui kama ni kweli au la.
Kwaio jw na wao wanakuja?Wahuni strory hizo atacha usahil wa police asubir tpdg
Wanalipaje hao jamaa kakaWakuu nimejitupia zangu SGA security.napambana na life na kuitetea familia yangu dhidi ya shida/umaskini.
Ajira za serikalini ni kizungumkuti sana nimepambana sana lkn kukaa na kutegemea issue usiyo na uhakika ni kiza cha fikra
Karibuni kwenye ajira za ulinzi wazi maafande
21yrs if am not mistaken.Kwa upande wa elimu ya sekondari mwisho ni umri gani kuingia vyomboni
Umri wa kisheria
mkuu lonja niliyopewa Uhamiaji ni mwezi huu wanakuja ,sijauliza tena kwa fazagola wangu coz mm nilishatoboa utumishi . mapambano mema afsa
hongera braza...shujaa umeumaliza mwendo.mkuu lonja niliyopewa Uhamiaji ni mwezi huu wanakuja ,sijauliza tena kwa fazagola wangu coz mm nilishatoboa utumishi . mapambano mema afsa
Hongera sana mzee. Nina dogo na yeye kapambana sana na haya majeshi ila kapata bahati kaitwa wizarani chap from data base. Mipango ya Mungu tumkuu lonja niliyopewa Uhamiaji ni mwezi huu wanakuja ,sijauliza tena kwa fazagola wangu coz mm nilishatoboa utumishi . mapambano mema afsa
Afisa kumbe ushakula kitengo tayari....uwe na maisha mema chiefmkuu lonja niliyopewa Uhamiaji ni mwezi huu wanakuja ,sijauliza tena kwa fazagola wangu coz mm nilishatoboa utumishi . mapambano mema afsa
Ameeen ni vyema sana kusikia wapambanaji wanapata machakaHongera sana mzee. Nina dogo na yeye kapambana sana na haya majeshi ila kapata bahati kaitwa wizarani chap from data base. Mipango ya Mungu tu
Thank u champ, pambana jah atablesi tuhongera braza...shujaa umeumaliza mwendo.
Naomba uniachie mikoba yako😂
Yaku hustle.
Hasira za kukosa polisi juzi zikiisha tutaendelea na mapambano
Ahsante mkuu, utumishi kwa kiasi kikubwa hawanaga kamlete. pongezi kwa dogo piaaHongera sana mzee. Nina dogo na yeye kapambana sana na haya majeshi ila kapata bahati kaitwa wizarani chap from data base. Mipango ya Mungu tu