Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Yawezekana hiv karibuni jw wakachukua...kuna mwanangu kapata mbaga kubwa. Ila kapelekwa kwanza ruvu jkt kujitolea ndo wanafanya usahili. Maelekezo ni kwamba atatokea huko kwenda jw.
 
Kuingia jwtz saizi kunaitaji connection ya hali ya juu sana maana hata ukiwa jkt na huna mbanga ni ngumu kuna raia wanatoka mtaani wanaenda kiangaiko sifa mifumo aijalishi wew ni wa mtaani au jkt jeshi limekua la kupiganisha now day
mambo yamebadilika aise
 
Kuingia jwtz saizi kunaitaji connection ya hali ya juu sana maana hata ukiwa jkt na huna mbanga ni ngumu kuna raia wanatoka mtaani wanaenda kiangaiko sifa mifumo aijalishi wew ni wa mtaani au jkt jeshi limekua la kupiganisha now day
Hivi vyombo vya ulinzi bila kua na mtu wa kukushika mkono tutaendelea kuulizia lonja tu..all in all tuendelee kupambana makamanda bahati ipo pia tuendelee kuomba Mungu atatubless.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…