NAJYUZ
JF-Expert Member
- May 10, 2021
- 1,981
- 3,475
Seriously?Mwez huu huu wa 11 kaka ni uhakika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Seriously?Mwez huu huu wa 11 kaka ni uhakika
UwakikaMwez huu huu wa 11 kaka ni uhakika
Sure kaka,Naomba uniamini possibility kubwa ni kuanzia week ijayoSeriously?
Mkoa sita taja kikosi husika wamechukua idadi hiyoUna maanisha mkoa mzima wamechukua watatu? Au naota? Mkoa gani huo?
Sure mkuu wamechukua watatu tuAcha masihara aise
SAwa mkuuSure mkuu wamechukua watatu tu
Dahh may be hao ni form 6 ila inawezekanaSure mkuu wamechukua watatu tu
Poa mkuu.Sure kaka,Naomba uniamini possibility kubwa ni kuanzia week ijayo
Huko jw kwa sisi wa kitaa mhhh...polisi tu bado inatugaragaza.Sure kaka,Naomba uniamini possibility kubwa ni kuanzia week ijayo
Jw kuingia ndio rahisi sasa ukiwa jktHuko jw kwa sisi wa kitaa mhhh...polisi tu bado inatugaragaza.
Hivi ukiwa na mujibu inawezekana pia kuingia ukitokea mtaani?Jw kuingia ndio rahisi sasa ukiwa jkt
naam mkuu inawezekana kabisaHivi ukiwa na mujibu inawezekana pia kuingia ukitokea mtaani?
mambo yamebadilika aiseKuingia jwtz saizi kunaitaji connection ya hali ya juu sana maana hata ukiwa jkt na huna mbanga ni ngumu kuna raia wanatoka mtaani wanaenda kiangaiko sifa mifumo aijalishi wew ni wa mtaani au jkt jeshi limekua la kupiganisha now day
Hivi vyombo vya ulinzi bila kua na mtu wa kukushika mkono tutaendelea kuulizia lonja tu..all in all tuendelee kupambana makamanda bahati ipo pia tuendelee kuomba Mungu atatubless.Kuingia jwtz saizi kunaitaji connection ya hali ya juu sana maana hata ukiwa jkt na huna mbanga ni ngumu kuna raia wanatoka mtaani wanaenda kiangaiko sifa mifumo aijalishi wew ni wa mtaani au jkt jeshi limekua la kupiganisha now day
umeiweka vizuriHivi vyombo vya ulinzi bila kua na mtu wa kukushika mkono tutaendelea kuulizia lonja tu..all in all tuendelee kupambana makamanda bahati ipo pia tuendelee kuomba Mungu atatubless.