Zafrain sag southernboy wakuu nini kinaendelea Millitary science huko mpaka sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NigZafrain sag southernboy wakuu nini kinaendelea Millitary science huko mpaka sasa
NiZafrain sag southernboy wakuu nini kinaendelea Millitary science huko mpaka sasa
Ni gwaride t shemZafrain sag southernboy wakuu nini kinaendelea Millitary science huko mpaka sasa
Noma sana hiii PDF ya police inaweza toka lini ya watu wa kwenda moshi mwenye ronjaAisee Zanzibar ni noma kuna chief yupo zenji ananiambia nafas za polis zinauzwa milion 4 na watu wanazinunua kinyume chake hautoboi Zanzibar nako ni kugumu katk michako ya ajira tena anasema huyo anaefanya hivo ni wa ngaz za juu na ni mkuu ktk kitengo Cha ajira
Naaam wakuu
Nini kinachoendelea huko?,au vijana wamepigwa ndoige..Naaam wakuu
Wapi Msata au Military scienceNini kinachoendelea huko?,au vijana wamepigwa ndoige..
Msata kozi nimeambiwa ni January maana kulikuwa hakuna order yoyote iliyobandikwa kwenye ubao wa matangazo kwamba vijana waanze kuripoti makambini kwaajili ya uzalendo.Kote kote mkuu msata na millitary science mwaga lonja
Aisee..!! Kweli tabu zipo pale pale.Msata kozi nimeambiwa ni January maana kulikuwa hakuna order yoyote iliyobandikwa kwenye ubao wa matangazo kwamba vijana waanze kuripoti makambini kwaajili ya uzalendo.
Military science cjui chochote cjapata feedback bado.
Duh Wamesogeza mpaka JanuaryMsata kozi nimeambiwa ni January maana kulikuwa hakuna order yoyote iliyobandikwa kwenye ubao wa matangazo kwamba vijana waanze kuripoti makambini kwaajili ya uzalendo.
Military science cjui chochote cjapata feedback bado.
Subiria bogi la police mkuuDuh Wamesogeza mpaka January
Sikuomba huko mkuuSubiria bogi la police mkuu
Kwan we ulikua unajua lini kaka?Duh Wamesogeza mpaka January
Hivi huko jw ronja zake huwaga hazieleweki..,yani utashangaa Millard ayo anapost watu wanaapaMsata kozi nimeambiwa ni January maana kulikuwa hakuna order yoyote iliyobandikwa kwenye ubao wa matangazo kwamba vijana waanze kuripoti makambini kwaajili ya uzalendo.
Military science cjui chochote cjapata feedback bado.
Zinaeleweka na watu wakianza kozi huwa tunajua,Shida mda wa kozi kuanza huwa unapigwa sana as wereHivi huko jw ronja zake huwaga hazieleweki..,yani utashangaa Millard ayo anapost watu wanaapa
Ahaa apo nimekuelewa kaka....hv jw kwa sisi wa kitaa kutoboa inawezekana kweliZinaeleweka na watu wakianza kozi huwa tunajua,Shida mda wa kozi kuanza huwa unapigwa sana as were
Inadepend na who is behind you kaka,Hakuna kinachoshindikanaAhaa apo nimekuelewa kaka....hv jw kwa sisi wa kitaa kutoboa inawezekana kweli
Apo wengne ndo system inapotutemaInadepend na who is behind you kaka,Hakuna kinachoshindikana