Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Aisee Zanzibar ni noma kuna chief yupo zenji ananiambia nafas za polis zinauzwa milion 4 na watu wanazinunua kinyume chake hautoboi Zanzibar nako ni kugumu katk michako ya ajira tena anasema huyo anaefanya hivo ni wa ngaz za juu na ni mkuu ktk kitengo Cha ajira
Noma sana hiii PDF ya police inaweza toka lini ya watu wa kwenda moshi mwenye ronja
 
Msata kozi nimeambiwa ni January maana kulikuwa hakuna order yoyote iliyobandikwa kwenye ubao wa matangazo kwamba vijana waanze kuripoti makambini kwaajili ya uzalendo.
Military science cjui chochote cjapata feedback bado.
Aisee..!! Kweli tabu zipo pale pale.
 
Msata kozi nimeambiwa ni January maana kulikuwa hakuna order yoyote iliyobandikwa kwenye ubao wa matangazo kwamba vijana waanze kuripoti makambini kwaajili ya uzalendo.
Military science cjui chochote cjapata feedback bado.
Duh Wamesogeza mpaka January
 
Back
Top Bottom