Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Usaili kwa wote ulianzia tareh 31 na kuisha tarehe 5. Kote Tanzania nikwamba mda bado haujafika,kama mda ukifika watatoa majina.maana nakumbuka raundi hii iliyopita walikaa siku ishirini na tisa ndio majina yakatoka,raundi hii hata wiki tatu bado hazijaisha ni kwamba mda wao bado

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom