Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

kwa yule alie bahatika na yupo dar nina vifaa vinavyohitajika hapo vipya kabisa vya mwanangu alifight akapata polisi baadae akapata utumishi akachagua utumishi kaviacha geto hapa naviuza kwa bei ya makubaliano atayehitaji
neti
blangeti
shuka blue
traksuti
tshirt nyeupe
Bei gani?
 
PT wale wamaelekezo na mbaga za uhakika wa shahada subirini simu na meseji za kuripoti Moshi
Degree walikuwa more than 1,000 kwenye usaili ila wamechukua 57 tu pekee.

I hope Kuna simu zitaita Kwa ambao hawajapata nafasi kwasasa (second selection kama mwaka Huu April & May 2023 walienda intake 2) Ili kukava nafasi za wale ambao hawatoripoti CCP au kukosa vigezo au afya etc.

Makamanda msikate Tamaa, Mungu yupo upande Wa wote wenye udhubutu.
 
Back
Top Bottom