southernboy
JF-Expert Member
- Sep 27, 2015
- 882
- 1,075
inasemekana hivoKwaiyo kihangaiko itakuwa ni December au
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
inasemekana hivoKwaiyo kihangaiko itakuwa ni December au
Mungu mwema dogo langu kapata hizi nafasi
Bei gani?kwa yule alie bahatika na yupo dar nina vifaa vinavyohitajika hapo vipya kabisa vya mwanangu alifight akapata polisi baadae akapata utumishi akachagua utumishi kaviacha geto hapa naviuza kwa bei ya makubaliano atayehitaji
neti
blangeti
shuka blue
traksuti
tshirt nyeupe
napunguza elfu 3 kwa kila kimoja kwa bei ya dukani mana bado vipya kabisa kwenye mifukoBei gani?
Majina si yameshatoka mkuu hapo juuPT wale wamaelekezo na mbaga za uhakika wa shahada subirini simu na meseji za kuripoti Moshi
🙏🏾🙏🏾🙏🏾Mungu mwema dogo langu kapata hizi nafasi
Mkuu Ndege Tai uliomba hizi nafasi??🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Nasi tutajaribu mwakani tena
Mkuu tafuta tu connection hizi kazi za majeshi bila connection ni ngumu sana kutoboa japo inawezekana ila ni mara chache sana tena kwa shahada ndo balaa zaidi.Ndiyo mkuu hadi usahili nilifanya fresh tu
Amina mkuu Mungu atafungua milango[emoji1488][emoji1488][emoji1488]
Nasi tutajaribu mwakani tena
Ulifanyia wapi mkuuNdiyo mkuu hadi usahili nilifanya fresh tu
Ashukuriwe mungu[emoji120][emoji120]
Kweli chiefMkuu tafuta tu connection hizi kazi za majeshi bila connection ni ngumu sana kutoboa japo inawezekana ila ni mara chache sana tena kwa shahada ndo balaa zaidi.
Makao makuu.Ulifanyia wapi mkuu
Ameen Mungu ni mwema sana.Ashukuriwe mungu[emoji120][emoji120]
Kwasasa ni mwaka mmoja, Kuna watu walishamaliza hizi kozi mwaka jana wapo kazini now walipiga miezi 12Kozi ya polisi huwa ni miezi mingapi?
Degree walikuwa more than 1,000 kwenye usaili ila wamechukua 57 tu pekee.PT wale wamaelekezo na mbaga za uhakika wa shahada subirini simu na meseji za kuripoti Moshi
Miezi 12? Dooh ni hatariKwasasa ni mwaka mmoja, Kuna watu walishamaliza hizi kozi mwaka jana wapo kazini now walipiga miezi 12