Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Noma sana hiii PDF ya police inaweza toka lini ya watu wa kwenda moshi mwenye ronja
 
Msata kozi nimeambiwa ni January maana kulikuwa hakuna order yoyote iliyobandikwa kwenye ubao wa matangazo kwamba vijana waanze kuripoti makambini kwaajili ya uzalendo.
Military science cjui chochote cjapata feedback bado.
Aisee..!! Kweli tabu zipo pale pale.
 
Msata kozi nimeambiwa ni January maana kulikuwa hakuna order yoyote iliyobandikwa kwenye ubao wa matangazo kwamba vijana waanze kuripoti makambini kwaajili ya uzalendo.
Military science cjui chochote cjapata feedback bado.
Duh Wamesogeza mpaka January
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…