Yeah.Mbona watu wa bendi walichukuliwa na kikosi cha bendi na pilots walichukuliwa na wahusika wa kikosi cha anga kule kurasini tulivyoenda..ina maana hawakufanyiwa usaili? Sifahamu kuhusu divers
awakuwepo bhana bado hawajaitaYeah.
Ila ss sielew wale watu watangazo la mwisho kama walikuwa pale kurasini ama laa
Kma hawajawaita basi majina bado badoawakuwepo bhana bado hawajaita
Bei ndo efu mbili me nataka nitume kesho uhamiaj?
Ajaribu kote kote tuBoss nashauri tuu kwa uhamiaji nahisi utakua umechelewa sababu deadline ni kesho tar 13 October.....nashauri utume zimamoto wao bado hadi tar 15 October.
Hayo ni maelezo ya kawaida sana, hujaniongezea jambo jipya kutoka kada hiyo. Jua ivo tuKingine cha kusaidiana sio kutumikishwa2 jeshini n Amri2 hakuna ombi kule ata uwe na elimu yako utapewa amri na aliekuzidi cheo so kama hutaki mambo hayo please usiombe kazi za jeshi maana utaenda kuusononesha moyo wako kule n amri mkuu hakuna ombi kama kazi zingine
Ajaribu kote kote tu
Kwani kesho si ndo mwisho mikoa yote lazima wataweka muda wa kukusanya maombi .........Boss nashauri tuu kwa uhamiaji nahisi utakua umechelewa sababu deadline ni kesho tar 13 October.....nashauri utume zimamoto wao bado hadi tar 15 October.
Hilo halikwepeki mkuu.. more than 60% Ni wao.... Cku hzi bila refa kutoboa n kazi broKuna baba kanituma mkoani wengi Sana mungu asaidie nafasi ziwe nyingi Sababu hali ni tete zikiwa chache [emoji2][emoji120]
Hilo halikwepeki mkuu.. more than 60% Ni wao.... Cku hzi bila refa kutoboa n kazi bro
Kuna mwamba yeye hata interview hajafanya ila tulikuwa naye kwenye vipimo na mwamba yeye anasalimiana na wakubwa tu mpaka tunamshangaa pia baadhi ya mambo achangamani na cc [emoji2][emoji2] anaambiwa Kabisa ww kaa hawa ndio wasimameHilo halikwepeki mkuu.. more than 60% Ni wao.... Cku hzi bila refa kutoboa n kazi bro
Duh, sasa bogi la uhamiaji itakuajeKuna mwamba yeye hata interview hajafanya ila tulikuwa naye kwenye vipimo na mwamba yeye anasalimiana na wakubwa tu mpaka tunamshangaa pia baadhi ya mambo achangamani na cc [emoji2][emoji2] anaambiwa Kabisa ww kaa hawa ndio wasimame
Hiyo uhamiaji na fire yajayo ni neema ya mungu tu sasa huko fire ndio mungu nisaidie kwa sana mana nafasi chache kulingana na polisiDuh, sasa bogi la uhamiaji itakuaje
Simbachawene kajibu ajuavyo yeye ila kiuhalisia mfumo wa usailishaji na upitishaji watu kwnye hizi ajira bado upo mikononi mwa watu kwa asilimia kubwa sana ...bado ajira zitaendelea kuwa za upendeleo tofauti na alivyojibu bora kajibu hakuna mfumo wakueleweka wakupunguza hii changamotoHilo halikwepeki mkuu.. more than 60% Ni wao.... Cku hzi bila refa kutoboa n kazi bro
Yani kupitia form six yule jamaa nadhan atakuwa kuna vigezo hana ndio mana kakimbia oral but body yani anapitishwa njia za panya tu ***** [emoji2]Kabisa
Hahahaha maisha ndivo yalivo kaka hakuna namnaYani kupitia form six yule jamaa nadhan atakuwa kuna vigezo hana ndio mana kakimbia oral but body yani anapitishwa njia za panya tu ***** [emoji2]
Mtoto wa mkubwa huyo [emoji3]Kuna mwamba yeye hata interview hajafanya ila tulikuwa naye kwenye vipimo na mwamba yeye anasalimiana na wakubwa tu mpaka tunamshangaa pia baadhi ya mambo achangamani na cc [emoji2][emoji2] anaambiwa Kabisa ww kaa hawa ndio wasimame
HeheheheheKuna mwamba yeye hata interview hajafanya ila tulikuwa naye kwenye vipimo na mwamba yeye anasalimiana na wakubwa tu mpaka tunamshangaa pia baadhi ya mambo achangamani na cc [emoji2][emoji2] anaambiwa Kabisa ww kaa hawa ndio wasimame