Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Na hao vijana wameyapatia maisha kwa sasa maana walipelekwa uchina na marekani kwa ajili ya kozi maalamu. Hao waliokacha sasa hivi watakuwa wanajuta sana, pole yao lakni maana huwenda haikuwa ridhiki yao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…