Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Mkuu we acha tu....ile niko six kuna mwana tulikuwa tunatanian kwa kuitana makoplo na tulikuwa tukitoka msuli dom lazima tuwapigie kelele za kuunga jeshi mapema tu.......sasa mwaka wetu ule ndo mambo ya military sayanc yalianza na walipita kambi za dodoma(makutopola), mara(RWANKOMA) na tabora(MSANGE) tu

sasa kambi yangu wala ya jamaa yangu hawakaupita so ikatupita kama ivo .......wadau walivyopigiwa simu kidume nikajipeleka ubungo pale lkn wap kumbe kuna majina daaah hafu ule mwaka wadau kibao walikacha maana walichagua watu wenye one na two wa kombi za sayanci so idadi ikawa ndgo nakumbuka walitakiwa watu 460+ hafu wakaenda 250 hv.....nikaenda hadi ngome kuomba lkin sikufanikiwa hapo stil niko chuo.....

Sema ningeenda pale nichukue jina la mtu ambaye namjua hakwenda ningekomaa nao tu.
Na hao vijana wameyapatia maisha kwa sasa maana walipelekwa uchina na marekani kwa ajili ya kozi maalamu. Hao waliokacha sasa hivi watakuwa wanajuta sana, pole yao lakni maana huwenda haikuwa ridhiki yao.
 
Back
Top Bottom