Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Hiyo ndio taswira ya hiyo kazi mnayoomba kazi yenye heshima duniani Ila iliyochafuliwa Tanzania.
 
Jeshi la Polisi Mkoa wa Tanga limesema litatoa taarifa ndani ya saa 24 kuhusu sakata la baadhi ya askari wilayani hapa kutuhumiwa kuwashika sehemu za miili wasichana na kuwalazimisha mapenzi.
 
Hiyo ndio taswira ya hiyo kazi mnayoomba kazi yenye heshima duniani Ila iliyochafuliwa Tanzania.
Tatizo la makosa madogo haifanyi jeshi zima kuwa ovu unakosea Sana mtoto mmoja akiwa mvuta bangi haimaanishi darasa zima watoto ni wavuta bangi .huko unaposemea marekani tunajisikiaga taarifa polisi wakiua watu .mweusi mwenzetu George Floyd aliuuwa Tanzania pia?
 
Kila Kona mnalaumiwa nyie tu vilaza na ndio maana kule Malawi mmekoswakoswa kuuwawa na wamalawi kwa ukilaza wenu mnashika vi smg tu mnaonea raia je mngekuwa na makombora na vifaru Kama jwtz pumbavu kabisa nyie.
Wewe mpumbavu acha chuki zakisengerema.Unaliwa kinyeo.!
 
Polisi wa Wilaya ya Ileje Mkoani Mbeya wametandikwa na Raia wa Malawi baada ya kuingia nchi hiyo ya kigeni kwa lengo la kuwasaka wafanya magendo .

Bado Haijafahamika walikopata utaratibu huo wa kuingia nchi ya watu kutafuta wahalifu huku Nchi ya Malawi ikiwa na Polisi wake , hata hivyo tunaishukuru serikali ya Malawi kwa kuwanusuru na vifo baada ya kuingilia kati kuwaokoa .

Askari_polisi_wa_wilayani_Ileje%2C_mkoani_Songwe_wametembezewa_kipigo_kutoka_kwa_raia_wa_Malaw...jpg
wangewatoa vinyeo shenzi.... Huu utaratibu wa jeshi la polisi kuvunja sheria kwa makusudi na wao kujiona miungu watu.. waendelee ku test zali kuna siku inakuja haina muda kwasasa
 
ASANTE Najua haitangazwi Ajira portal ila HYATT'S NA KIDIMBWI zinatangazwa
Ukitaka nafasi ya kuwa TISS mbona kazi ndogo sana mtafute RSO wa mkoa uliopo hakikisha unaifahamu vyema ratiba yake.

Ni kawaida, wengi wao ni watu wa vinywaji hakikisha unamsoma vyema hasa kiwanja anachopendelea kunywa bia.

Ukifanikiwa hilo, siku akiwa anakunywa bia pita msalimie then nenda zako kakae sehemu ambayo unahakikisha anakuona vyema.

Then baada ya muda kupita ita mhudumu mpelekee bia hata mbili ama tatu, tulia mwenyewe atauliza zimetoka wapi mhudumu atakunyooshea kidole na wewe bila ajizi onesha alama ya kama kushukuru.

Mkionana maeneo hayohayo kwa siku kama tatu mwenyewe atakukaribisha kwenye meza anayokunywa sasa hapo ongea story za kawaida then mkionana kwa siku za mbeleni tena jitahidi kugusia changamoto mbili tatu za maisha mwisho ipo siku mwenyewe atakupa fursa ya kujaza fomu hawa ndio hutumiwa kuchagua vijana kutoka mkoa husika.

Hakikisha unakuwa kijana smart na mwenye nidhamu ya hali ya juu ambayo itamfanya hata yeye asijiulize mara mbili tatu kukupa fursa.

Kila la kheri
 
Ukitaka nafasi ya kuwa TISS mbona kazi ndogo sana mtafute RSO wa mkoa uliopo hakikisha unaifahamu vyema ratiba yake.

Ni kawaida, wengi wao ni watu wa vinywaji hakikisha unamsoma vyema hasa kiwanja anachopendelea kunywa bia.

Ukifanikiwa hilo, siku akiwa anakunywa bia pita msalimie then nenda zako kakae sehemu ambayo unahakikisha anakuona vyema.

Then baada ya muda kupita ita mhudumu mpelekee bia hata mbili ama tatu, tulia mwenyewe atauliza zimetoka wapi mhudumu atakunyooshea kidole na wewe bila ajizi onesha alama ya kama kushukuru.

Mkionana maeneo hayohayo kwa siku kama tatu mwenyewe atakukaribisha kwenye meza anayokunywa sasa hapo ongea story za kawaida then mkionana kwa siku za mbeleni tena jitahidi kugusia changamoto mbili tatu za maisha mwisho ipo siku mwenyewe atakupa fursa ya kujaza fomu hawa ndio hutumiwa kuchagua vijana kutoka mkoa husika.

Hakikisha unakuwa kijana smart na mwenye nidhamu ya hali ya juu ambayo itamfanya hata yeye asijiulize mara mbili tatu kukupa fursa.

Kila la kheri
Hehehe..

Kiboboso
 
Luka 3:14
"Askari nao wakamwuliza, wakisema, Sisi nasi tufanye nini? Akawaambia, Msidhulumu mtu, wala msishitaki kwa uongo; tena mtoshewe na mshahara wenu."

Yesu aliwaambia askari mambo haya matatu...
1.Msidhulumu mtu.. Tafadhali vijana mkisha kupata dhamana ya kuwalinda raia na mali zao, Msiwadhulumu hao raia.

2.Msishitaki kwa uongo.. Jiepusheni kutoa mashtaka na hata ushahidi wa uongo ili kuwaweka raia katika vifungo, Tafadhali sana vijana.

3.Mtoshewe na Mshahara wenu.. Yaani msiombe wala msipokee rushwa, mishahara yenu ndiyo stahiki yenu, kuweni waaminifu.

Mkiyatenda hayo, Hakika Mungu ataibariki kazi ya mikono yenu (Upolisi), Msisahau kumuomba na kumtumaini sana Mungu maana kazi yenu imejaa Majungu na Fitina nzito.

Mimi, kaka yenu ninawatakia kila la kheri, Bwana Mungu wa Majeshi awatangulie.
 
Tatizo la makosa madogo haifanyi jeshi zima kuwa ovu unakosea Sana mtoto mmoja akiwa mvuta bangi haimaanishi darasa zima watoto ni wavuta bangi .huko unaposemea marekani tunajisikiaga taarifa polisi wakiua watu .mweusi mwenzetu George Floyd aliuuwa Tanzania pia?
Kijana unajua maana ya reasoning? Sasa hapo mtoa hoja amekosea nini? Sorry kapitie vizur maana ya neno uwajibikaji, then utaelewa mchiz anamaanisha nini. Kwangu mchizi yupo sahihi Sana jeshi la polisi linabidi lijichunguze sana, VIJANA WENGI WANAPATA MAFUNZO YA POLISI BILA KUJUA POLICE GENERAL ORDER (PGO) ndomaana wanafanya Mambo ya ajabu, lilikuwa na umuhimu gani wa tanpol kuvuka mpaka na kwenda nchi nyingine kukamata waalitu wakati wenyewe hawana hayo mamlaka, hayo mamlaka ni ya Interpol 😂😂😂. ALL IN ALL Mungu akusaidie upate nafasi ya kujiunga na jeshi la polisi hili usaidie/ulete uafadhari wa maisha kwa ndugu na jamaa🇹🇿❤️
 
Ukitaka nafasi ya kuwa TISS mbona kazi ndogo sana mtafute RSO wa mkoa uliopo hakikisha unaifahamu vyema ratiba yake.

Ni kawaida, wengi wao ni watu wa vinywaji hakikisha unamsoma vyema hasa kiwanja anachopendelea kunywa bia.

Ukifanikiwa hilo, siku akiwa anakunywa bia pita msalimie then nenda zako kakae sehemu ambayo unahakikisha anakuona vyema.

Then baada ya muda kupita ita mhudumu mpelekee bia hata mbili ama tatu, tulia mwenyewe atauliza zimetoka wapi mhudumu atakunyooshea kidole na wewe bila ajizi onesha alama ya kama kushukuru.

Mkionana maeneo hayohayo kwa siku kama tatu mwenyewe atakukaribisha kwenye meza anayokunywa sasa hapo ongea story za kawaida then mkionana kwa siku za mbeleni tena jitahidi kugusia changamoto mbili tatu za maisha mwisho ipo siku mwenyewe atakupa fursa ya kujaza fomu hawa ndio hutumiwa kuchagua vijana kutoka mkoa husika.

Hakikisha unakuwa kijana smart na mwenye nidhamu ya hali ya juu ambayo itamfanya hata yeye asijiulize mara mbili tatu kukupa fursa.

Kila la kheri
[emoji419][emoji419][emoji419][emoji419][emoji419][emoji419]
 
Ukitaka nafasi ya kuwa TISS mbona kazi ndogo sana mtafute RSO wa mkoa uliopo hakikisha unaifahamu vyema ratiba yake.

Ni kawaida, wengi wao ni watu wa vinywaji hakikisha unamsoma vyema hasa kiwanja anachopendelea kunywa bia.

Ukifanikiwa hilo, siku akiwa anakunywa bia pita msalimie then nenda zako kakae sehemu ambayo unahakikisha anakuona vyema.

Then baada ya muda kupita ita mhudumu mpelekee bia hata mbili ama tatu, tulia mwenyewe atauliza zimetoka wapi mhudumu atakunyooshea kidole na wewe bila ajizi onesha alama ya kama kushukuru.

Mkionana maeneo hayohayo kwa siku kama tatu mwenyewe atakukaribisha kwenye meza anayokunywa sasa hapo ongea story za kawaida then mkionana kwa siku za mbeleni tena jitahidi kugusia changamoto mbili tatu za maisha mwisho ipo siku mwenyewe atakupa fursa ya kujaza fomu hawa ndio hutumiwa kuchagua vijana kutoka mkoa husika.

Hakikisha unakuwa kijana smart na mwenye nidhamu ya hali ya juu ambayo itamfanya hata yeye asijiulize mara mbili tatu kukupa fursa.

Kila la kheri
Nipo JIJINI hapa kumpata ni balaaaaa Bora hata mkoa nilietoka alikuwa yule White kipindi JPM Anaanza kazi alikuwa PSU wake
 
Ukitaka nafasi ya kuwa TISS mbona kazi ndogo sana mtafute RSO wa mkoa uliopo hakikisha unaifahamu vyema ratiba yake.

Ni kawaida, wengi wao ni watu wa vinywaji hakikisha unamsoma vyema hasa kiwanja anachopendelea kunywa bia.

Ukifanikiwa hilo, siku akiwa anakunywa bia pita msalimie then nenda zako kakae sehemu ambayo unahakikisha anakuona vyema.

Then baada ya muda kupita ita mhudumu mpelekee bia hata mbili ama tatu, tulia mwenyewe atauliza zimetoka wapi mhudumu atakunyooshea kidole na wewe bila ajizi onesha alama ya kama kushukuru.

Mkionana maeneo hayohayo kwa siku kama tatu mwenyewe atakukaribisha kwenye meza anayokunywa sasa hapo ongea story za kawaida then mkionana kwa siku za mbeleni tena jitahidi kugusia changamoto mbili tatu za maisha mwisho ipo siku mwenyewe atakupa fursa ya kujaza fomu hawa ndio hutumiwa kuchagua vijana kutoka mkoa husika.

Hakikisha unakuwa kijana smart na mwenye nidhamu ya hali ya juu ambayo itamfanya hata yeye asijiulize mara mbili tatu kukupa fursa.

Kila la kheri
Ushauri mzuri japo umeniacha njia panda
 
Back
Top Bottom