Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Afu kwel kama masiara ivi watu j3 wanafanya usaili .. Sema bado mchakato unaendelea
Najua hamuamini amini ila no suurender wazee mpk watu wafike ccp
Kwaio wanaita kila kada sehemu yao yakufanyia usaili? Au inakuajr
 
Afu kwel kama masiara ivi watu j3 wanafanya usaili .. Sema bado mchakato unaendelea
Najua hamuamini amini ila no suurender wazee mpk watu wafike ccp
Hahahahaha Haijafika Mwisho Mpaka iwe Mwisho hahahaha kama Mpira vile Dak 90 hahahhaha
 
Ukiitwa Usaili Kigezo kimojawapo ni Kuwa na Viambata Vyote yaani kufuzu nakuingia chumba Cha kusailiwa.Kwa hiyo jitahidi Sana unapoenda kama Ukiitwa Usaili Usisahau Leaving zako zote Original.Na Pia namba Yako ya NIDA au Kitambulisho Usisisahu
saw mkuu..mie ntaapply hili tangazo la juzi..ila hawajasema mambo ya passport 3 na barua ya utambulisho.
 
Ivi mkoa wa mbeya harakati za usaili ni vip wazee tujuzane wakuu wenzangu
 
Kwaio wanaita kila kada sehemu yao yakufanyia usaili? Au inakuajr
Ndio kila kada inafanya usaili maahala pake huwez mfanyisha usaili mtu w computer kwenye wanyama ..over .. Sema cjajua vzr kama usaili j3 ni kwa watu wa afya tu au kada zote icho ndio kipengele
 
Ndio kila kada inafanya usaili maahala pake huwez mfanyisha usaili mtu w computer kwenye wanyama ..over .. Sema cjajua vzr kama usaili j3 ni kwa watu wa afya tu au kada zote icho ndio kipengele
Hahahaha hapo kweliii aseee
 
Ndio kila kada inafanya usaili maahala pake huwez mfanyisha usaili mtu w computer kwenye wanyama ..over .. Sema cjajua vzr kama usaili j3 ni kwa watu wa afya tu au kada zote icho ndio kipengele
Hahahaha hapo kweliii aseee
 
Afu kwel kama masiara ivi watu j3 wanafanya usaili .. Sema bado mchakato unaendelea
Najua hamuamini amini ila no suurender wazee mpk watu wafike ccp
Utadumu kuruti [emoji23]

Kuna madogo wao washaapa kuwa waitwe au wasiitwe , ccp wataingia tu [emoji23]
 
Mkuu hili tangazo la juzi..hawajasema.na barua ya utambulisho namie nishatuma tyr,kwahyo ntakua DISQUALIFIED?Na Kuhusu leaving,nimeattach ya form4 na form 6 tu..ila ya la7 sijaAttach,Vipi hapo pia?
Walisema uambatanishe hadi cha la 7?maana, wengi hawana hicho cheti
 
Utadumu kuruti [emoji23]

Kuna madogo wao washaapa kuwa waitwe au wasiitwe , ccp wataingia tu [emoji23]

Dah nimecheka sana...kwamba afe kipa afe beki,,CCP lazima [emoji16][emoji16][emoji16],,,,[emoji119][emoji119]
 
Walisema uambatanishe hadi cha la 7?maana, wengi hawana hicho cheti

Ndio nashangaa sababu lile tangazo lilisema tuu waambatanishe na leaving,ila hawaja~specify,,,sasa watu ili kuondoa mzizi wa fitina wanajiongeza tuu kuweka vyote,lakini leaving ya la7 watu wengi hawana.
 
We jamaa tatizo unajifanya unajua kila kitu kumbe ni mweupe tu ,unawaita hadi watu matapeli na kujiona mjuaji sana ila ni mpuuzi mmoja tu hivi
Hahahahahaah Mimi Lonja ninayotegemea ni ya Choo Cha Kulipia....Mdogo wangu yupo na Presha Sana Sasa lazima kaka yake nifatilie hatua Kwa hatuaaaa
 
Back
Top Bottom