Bia Ya Moto
JF-Expert Member
- Aug 2, 2021
- 1,227
- 2,816
Vijana majina yametoka ingieni muangalie mkeka.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mliotuma awali.sijaelewa mwisho wa kutuma maombi ni tarehe 29/9/2021 sasa hawa walioitwa ni wa wapi
Tumikia kwanza Jeshi haya mengine utayajua mbele ya safari.Mapema hivi ushaanza kuwaza vyeo?Hivi kwenda kupiga kozi ya uafisa wa polisi wanaangalia sifa gani ya elimu?
Ni kumtanguliza Mungu tu ndugu yangu,maana mmeitwa wengi kweli hivyo mchujo utakuwa heavy.Hapo Mr.Choo cha Kulipia possibility inakuwaje ukienda Dsm huko?
Ni kumuomba Mungu, upate bahati au connection kwa nnavyoona mimi, kwa mfano, level ya degree walioitwa kwenye usaili ni zaidi ya 1400 lakini nafasi za level ya degree zilizotoka mapema kabisa mwanzoni zilikuwa 50 pekee so the scramble there is real.Hapo Mr.Choo cha Kulipia possibility inakuwaje ukienda Dsm huko?
Na hapo baba kanituma bado hawajaenda.Ni kumuomba Mungu, upate bahati au connection kwa nnavyoona mimi, kwa mfano, level ya degree walioitwa kwenye usaili ni zaidi ya 1400 lakini nafasi za level ya degree zilizotoka mapema kabisa mwanzoni zilikuwa 50 pekee so the scramble there is real.
Hakika Mkuu,huko ni kugumu Sana na kama unavyosema Usaili utakuwa heavy ni kweli kabisa.Ni kumtanguliza Mungu tu ndugu yangu,maana mmeitwa wengi kweli hivyo mchujo utakuwa heavy.
Kweli kabisa.Ushindani ni Mkubwa sanaaNi kumuomba Mungu, upate bahati au connection kwa nnavyoona mimi, kwa mfano, level ya degree walioitwa kwenye usaili ni zaidi ya 1400 lakini nafasi za level ya degree zilizotoka mapema kabisa mwanzoni zilikuwa 50 pekee so the scramble there is real.
Real scramble for mzee maana duuuh ... Kati ya shahada 780 walioitwa wanahitajika not more than 100 .. Watu wa hesabu tunasema katika watu 8 anahitajika mmojaNi kumuomba Mungu, upate bahati au connection kwa nnavyoona mimi, kwa mfano, level ya degree walioitwa kwenye usaili ni zaidi ya 1400 lakini nafasi za level ya degree zilizotoka mapema kabisa mwanzoni zilikuwa 50 pekee so the scramble there is real.
Baadhi ya fani tyr .. Lkn sio zile fani zilizowekwa Mara ya pilinimeelewa hao ni wale waliopitia jkt wa fani mbalimbalimbali bado
Hapo nimeelewa maana nilitaka kuona kituko yani kuita watu usaili kabla ya dead kuishaBaadhi ya fani tyr .. Lkn sio zile fani zilizowekwa Mara ya pili
Ndiyo.nimeelewa hao ni wale waliopitia jkt wa fani mbalimbalimbali bado
wivuAweeeh tunaondokaaa..
"Wale wasomi" kazi kwenu, kwenye watu 1k+ haumo?? Au vyeti si vya mama ndali nini?
Hahaha tupeni lonja mapot
Umeshikwa na wivu mapema yote hi?wivu