mazaga one
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 2,514
- 4,042
Jamani kwenye Taarifa sahihi ya Ukurasa wa ITV Tanzania na Kauli ya Waziri Simbachawene Alete Humu Basi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani taarifa ikoje, word ExpressJamani kwenye Taarifa sahihi ya Ukurasa wa ITV Tanzania na Kauli ya Waziri Simbachawene Alete Humu Basi
Ebu mtoe maelezo kidogoKwani taarifa ikoje, word Express
Simbachawene kazungumza lini..? Na kuhusu nini
Nenda page ya ITV TanzaniaKwani taarifa ikoje, word Express
Alikuw kwenye kipindi cha Dk 45 cha itv akihojiwa mambo mbalimbali yahusuyo wizara yake na mojawapo ni kwanini majeshi yaliyo chini ya wizara yake yanaajiri watu wenye ufaulu mdogo hivyo alikuw anafafanua hilo...kaangalie video kwenye page ya itv tanzaniaSimbachawene kazungumza lini..? Na kuhusu nini
Waziri asinukuliwe vibaya.. nimeangalia kipingi chote cha dk 45 cha ITV..hakusema hivyoChoo Cha Kulipia una Maoni Gani Kauli ya Waziri km ikiwa ni ya Kweli?
Waziri amechemka sana kujibu hivyo.Siyo kila swali ni la kujibu mengine unakaa kimya,zaidi atajiaibisha na atasababisha jamii kuwanyanyapaa Askari wetu hivyo chuki baina ya Raia na Askari ikazidi kuongezeka sana.[emoji116][emoji116]View attachment 1971614
Waziri amechemka sana kujibu hivyo.Siyo kila swali ni la kujibu mengine unakaa kimya,zaidi atajiaibisha na atasababisha jamii kuwanyanyapaa Askari wetu hivyo chuki baina ya Raia na Askari ikazidi kuongezeka san
Mkuu tupe lonja majina lin yanatoka makao makuuWaziri amechemka sana kujibu hivyo.Siyo kila swali ni la kujibu mengine unakaa kimya,zaidi atajiaibisha na atasababisha jamii kuwanyanyapaa Askari wetu hivyo chuki baina ya Raia na Askari ikazidi kuongezeka sana.
Waziri yupo sahihi na huo ndio ukweli halisi alioungea...Waziri amechemka sana kujibu hivyo.Siyo kila swali ni la kujibu mengine unakaa kimya,zaidi atajiaibisha na atasababisha jamii kuwanyanyapaa Askari wetu hivyo chuki baina ya Raia na Askari ikazidi kuongezeka sana.
M binafsi naona waziri yuko sahihi kabisa sio kukatishana tamaa wala nn n katika kuambiana ukwel ukiajili sisi wenye taaluma au ufaulu mzuri baada ya muda utakuta tumeshaweka nyota begani sina ujuzi na mambo ya polisi lakini askari mwenye nyota sizani kama anaweza pangiwa lindo but ukiajiri wenye ufaulu wa chini inamaana huyo mtu hadi aifikie nyota sio Leo kwa hyo ataendelea kupangiwa majukumu ya lindo na kazi zingine ambazo mwenye nyota hatopangiwaWaziri amechemka sana kujibu hivyo.Siyo kila swali ni la kujibu mengine unakaa kimya,zaidi atajiaibisha na atasababisha jamii kuwanyanyapaa Askari wetu hivyo chuki baina ya Raia na Askari ikazidi kuongezeka sana.
Ni wenye fani?Kuna jamaa zangu nao wamepigiwa simu tar 13 ni usahili dodoma msalato
Yupo sawa kiuhalisia labda sijui watu tunatofautiana mitazamo yetuWaziri amechemka sana kujibu hivyo.Siyo kila swali ni la kujibu mengine unakaa kimya,zaidi atajiaibisha na atasababisha jamii kuwanyanyapaa Askari wetu hivyo chuki baina ya Raia na Askari ikazidi kuongezeka sana.
Alichoongea ni kwl ila tu kakosea hakupaswa kuweka publicity hvy ilipaswa iwe siri yao wenywWaziri amechemka sana kujibu hivyo.Siyo kila swali ni la kujibu mengine unakaa kimya,zaidi atajiaibisha na atasababisha jamii kuwanyanyapaa Askari wetu hivyo chuki baina ya Raia na Askari ikazidi kuongezeka sana.
Kwa taratibu za kipolisi hawezi kufika nyota labda apewe nyota kama zawadi kwa utumishi wake ila sio kwenda kuisomea course,..cheo cha juu sana akifika basi ni RSMM binafsi naona waziri yuko sahihi kabisa sio kukatishana tamaa wala nn n katika kuambiana ukwel ukiajili sisi wenye taaluma au ufaulu mzuri baada ya muda utakuta tumeshaweka nyota begani sina ujuzi na mambo ya polisi lakini askari mwenye nyota sizani kama anaweza pangiwa lindo but ukiajiri wenye ufaulu wa chini inamaana huyo mtu hadi aifikie nyota sio Leo kwa hyo ataendelea kupangiwa majukumu ya lindo na kazi zingine ambazo mwenye nyota hatopangiwa
Kwa hyo umeona faida hyo ata gharama za mshahara na posho serikali inasave pesa pia lakini sisi wenye degree unaweza anzia cheo cha chini lakin mshahara unakuta uko juu and baada ya muda kidogo unaweza kwenda kozi kuitafta nyota so waziri yupo sahihi sana n vile2 kama nchi hatupendi ukweli na uwaziKwa taratibu za kipolisi hawezi kufika nyota labda apewe nyota kama zawadi kwa utumishi wake ila sio kwenda kuisomea course,..cheo cha juu sana akifika basi ni RSM
Kuna ubaya?Nimepitia cv ya huyo waziri kumbe ni muhitimu wa open university.