MAKANGEMBUZI
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 2,670
- 7,655
Hawa uhamiaji sina iman nao kabisa yahn
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaeni tayar PT mzigo unatemwa mda sio mrefuHawa uhamiaji sina iman nao kabisa yahn
Usaili wa PT au MT?Kuna mwamba yeye hata interview hajafanya ila tulikuwa naye kwenye vipimo na mwamba yeye anasalimiana na wakubwa tu mpaka tunamshangaa pia baadhi ya mambo achangamani na cc [emoji2][emoji2] anaambiwa Kabisa ww kaa hawa ndio wasimame
Mkamateni sasaNimepitia cv ya huyo waziri kumbe ni muhitimu wa open university.
Wauteme aisee maana dah umekaaa sana mzigo 🤣🤣🤣Kaeni tayar PT mzigo unatemwa mda sio mrefu
Dah hapo wadada wengi wataachwa ama rushwa itatemvea sana13.awe hajaoa kuolewa wala kuwa na mtoto
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hii ni haraka na uhakika.Posta wiki nzima kufika eneo husika.
Haitofautiani sana na JKT nadhani 70k PT.Hivi vipi kuhusu posho kwa watakaofanikiwa kwenda depo,PT,MT,UT,ZT...ni kama vile jkt elfu 50.???au ipoje kuhusu hili...
Baba yangu alikuaga na cheo kimoja wapo cha utawala ulichotaja hapo,cheo cha kijeshi SSP,sema sir God alimpenda zaidi.Hivi mfano baba ako RPC au hata OCD unaandika barua za nini ..hao ndio huwaoni kwenye usaili unakutana nao CCP
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Hamna upigaji kweli?Haitofautiani sana na JKT nadhani 70k PT.
Pole Sana mkuu ..mungu amrehemuBaba yangu alikuaga na cheo kimoja wapo cha utawala ulichotaja hapo,cheo cha kijeshi SSP,sema sir God alimpenda zaidi.
Napambana na hali yangu.
Mda gani mzee baba tumeshachoka kusubiri asee[emoji2]Kaeni tayar PT mzigo unatemwa mda sio mrefu
Amina.Pole Sana mkuu ..mungu amrehemu
Mkuu 2014 walikua wanapew 80kHaitofautiani sana na JKT nadhani 70k PT.
Hivi posho za PT, UT, MT, FIRE, wakiwa cozi ni shingapiMkuu 2014 walikua wanapew 80k
@Choo Cha KulipiaHivi posho za PT, UT, MT, FIRE, wakiwa cozi ni shingapi
Kapotea@Choo Cha Kulipia
atarudi tu mkuuKapotea
Yani hizi nafasi zimekua kaa la moto, maana ukisikia jina lako liko kwenye list unanyanyua mikono juuatarudi tu mkuu