Bia Ya Moto
JF-Expert Member
- Aug 2, 2021
- 1,227
- 2,816
Kanali yupo kundi la 2 la maafisa wa jeshi,sema wapo wengi sana kwasasa hivyo ushawishi wake utambeba kulingana na alipo ila siyo kila kanali anao huo uwezo.Kanali ni mtu mkubwa sana jeshini... Just imagine yule anayemlinda rais ana cheo cha ukanali... So anaweza fanya kity
1.Maafisa majenerali(brig-jenerali)
2.Maafisa wakubwa(meja-kanali)
3.Maafisa wadogo(luteni usu-kapteni)