tztz
JF-Expert Member
- Jun 30, 2021
- 274
- 253
Tangazo lao linapatikana wapi mkuu angalau tuombe na hzo au kama unalo lilushe humu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tangazo lao linapatikana wapi mkuu angalau tuombe na hzo au kama unalo lilushe humu
Hilo apo we tembea nalo tu mkuu View attachment 20211810411627JOB-ADVERT-TANAPA.pdfTangazo lao linapatikana wapi mkuu angalau tuombe na hzo au kama unalo lilushe humu
Nashindwa kulidownload kwenye website yao lipo ?Tarehe ya kuripoti ccpqView attachment 1981432
Duuh ulijiamini sana mkuu ila sema nini isiwe kesi omba Tanapa hao bado deadline
Na chama la wana likija nalo pia we omba
Mi nimeomba polisi, magereza, uhamiaji kote huko nimekosa sijakata tamaa na wewe usikate tamaa
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Hata form 4 pia na uwe na cheti cha jktHivi tanapa si wametaka watu wenye certificates ya wanyama pori sjui
Mi nilirushiwa kwenye website nimeshindwa kulionaView attachment 1981442View attachment 1981443Nashindwa kulidownload kwenye website yao lipo ?
Ndio lipo mkuu. Tembelea website yaoNashindwa kulidownload kwenye website yao lipo ?
Najaribu ku attach picha screen shot uone naona inazinguaMi nilirushiwa kwenye website nimeshindwa kulionaView attachment 1981442View attachment 1981443View attachment 1981444
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Qualifications and experience si ni sifa na uzoefuView attachment 1981445
Sio kweli mkubwa....hawa hawajataka fom four wala hawajataka cheti cha JKT pitia tangazo vzuri
Qualifications and experience si ni sifa na uzoefu
Halafu hapo CSEE hii ni form 4 halafu hii national service si ndio kama jkt ?
Au mimi nimeelewa tofauti mkuu?
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
JKT = TNS (Tanzania National Service)Kama hio national service ni jkt....je kuna jkt ya mwaka mmoja.???maana apo wamesema one year national service
JKT = TNS (Tanzania National Service)
Awali mafunzo ya JKT mujibu wa sheria ilikuwa ni mwaka mmoja.
Lakini kisheria hata ukiwa wa kujitolea ukikaa JKT mwaka tayari unastahili kupewa cheti.
JKT = TNS (Tanzania National Service)
Awali mafunzo ya JKT mujibu wa sheria ilikuwa ni mwaka mmoja.
Lakini kisheria hata ukiwa wa kujitolea ukikaa JKT mwaka tayari unastahili kupewa cheti.
Mimi pia nimeshangaa sana sasa iyo ni ajira au biashara mkuu mbona TPDF kila kitu nifree...PT wako serious kweli?
50400 Bima ya afya ujilipie.
40000 vipimo vya afya ujilipie.
Nauli ujilipie.
Mahitaji kama traki,raba ujinunulie.
Aiseeh
23-29 10 2021 mripoti.View attachment 1981522
Dah kazi kweli kweliPT wako serious kweli?
50400 Bima ya afya ujilipie.
40000 vipimo vya afya ujilipie.
Nauli ujilipie.
Mahitaji kama traki,raba ujinunulie.
Aiseeh
23-29 10 2021 mripoti.View attachment 1981522
Wanangu wa depo. Jambooo wakuuPT wako serious kweli?
50400 Bima ya afya ujilipie.
40000 vipimo vya afya ujilipie.
Nauli ujilipie.
Mahitaji kama traki,raba ujinunulie.
Aiseeh
23-29 10 2021 mripoti.View attachment 1981522