Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Mliochaguliwa kwenda ccp hongereni kuweni wavumilivu katika mafunzo, ukifika ukaambiwa kimbia bas kimbia ukiambiwa tembea bas tembea, ukiambiwa lia we lia tu hata kma hamna sababu ya kufanya hivyo, naskia huko kuna sheria zao huruhusiwi hata kuegemea mti unaweza ukapuuza lakin ukafukuzwa kwa kosa hilohilo, na ukifukuzwa unakua ndo umeshafukuzwa kaz maana sahiv n kma tayar mmeshapata kaz
Huk mtaan n pagumu weng tumezitafuta hizo nafas ili haikua riziki yetu, siku zote kazi ni mbaya ukiwa nayo ila ukiikosa utaujua umuhimu wake.
Screenshot_20211021-100629.jpg
 
Unayo hakika? Naweza kukusaidia kufix Tena bure na kila kitu tunamaliza hapahapa no DM.

Nipe FN yako na Jina la Kikosi ulikofanyia mafunzo ya awali ya ulinzi na usalama na uzalishaji Mali.
Uhakika FN ni yang nkutumie dm labda humu haitoleta shida kuweka vitu publicity
 
Dah hapa hakuna Jeshi.
Inasikitisha sana mana ajira wametangaza wao watu wameomba arafu mnanza tena walipisha cjui ela ya vipimo wakati wao ndo wanashida na huyo mtu kwann vipimo wasifanye free iyo bima isiwe free na nauli wasitoe ivi kuna shida ganI TP??

Naskia hata usaili waliwalipisha ela za vipimo kabla ya hata kujua kama huyu kapita au laa awa wapigaji tuu ivi huyu IGP anayaona haya au jeshi la polisi alina pesa aisee ni aibu kwa kweli....
 
Sio lazima kupita jkt kuna Mshkaji wangu kaitwa Shule Ccp na alikuwa hajapitaga jkt ni form 4 tu na certificate ya Computer Application
Kwenye Tangazo mbona hakuna mtu alieitwa ambaye hana namba ya kijeshi mkuu, huyo ameitwa PT ipi?
 
Kwenye Tangazo mbona hakuna mtu alieitwa ambaye hana namba ya kijeshi mkuu, huyo ameitwa PT ipi?
Kwenye no pale mwenyewe anasema limemshangaza ila majina yote ni yake namjua hakupita kozi yeyote na walimpigia simu before hapo kwenye namba naona kuna namna ,Haya mambo nibahati sometimes nitukaze buti tu Nakumuomba Mungu maana kila mtu hakuumbwa kuja kuteseka duniani
 
Kwenye Tangazo mbona hakuna mtu alieitwa ambaye hana namba ya kijeshi mkuu, huyo ameitwa PT ipi?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119]labda namba yake imeandikwa tuu ili watu wasigundue
 
Back
Top Bottom