Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

 
Tuwekee hayo majina
 
 
Dah nimepigwa na kitu kizito...Sijabahatika kuwwmo ktk hayo majina yao..Mbaya zaidi Shahada hawazidi hata 20!!!Cjui wametmia vigezo gani[emoji17]
 
Af kuna mtu anasema humu " polisi wakisha chagua wamechagua,hooo! Sijui wakisha enda ccp ndo bas tena.

Haya sasa leo kuna jambo lao huko, hao wanenda wap
 
Af kuna mtu anasema humu " polisi wakisha chagua wamechagua,hooo! Sijui wakisha enda ccp ndo bas tena.

Haya sasa leo kuna jambo lao huko, hao wanenda wap
Jeshi Huwa halitabiriki....Hatua inaisha na unakubali haikuwa ridhiki mpaka pale unakutana mtaani na marafiki zako wakiwa wamemaliza Kozi.Hapo Sasa ndio unaSema Imeishaa hiyooo hahahaha.....
Tuendelee kusubiri lolote linaweza kutokea,Namba Zetu wanazo huhuhuhu,Kujipa moyo Nako ni Ushindi tosha.....
 
Kufatilia ajira za polisi usaili wa kwanza hadi wa mwisho umenifanya pia nimefukuzwa site kazi ya watu ilikuwa ikienda pole pole yani vurugu tupu alafu nakuja kitaa PDF sijioni ..
Jikaze wewe mwanaume kijana.

Mungu hapendi wenye mashaka na hata wasiojituma.

Kila la kheri, Mungu akutendee kadiri ya UKWELI WA MOYO WAKO.
 
Wazee wa biashara United muda sio muda mambo ni [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
 
Uzi wetu wa KUKUZA ID zetu...

Watu wanaanza na "New Member" mpaka "JF Expert Member" kwenye THREAD hii hii tu..

Ama kweli Majeshi matamuu, MAMA MWAGA NYINGINE.

Awiiih...
 
Kwahyo fire wale tulio andika maombi makao makuu tayari watu washaitwa kitambo kwenye usaili ? [emoji1787][emoji1787] wengine tupo tupo tu



Embu nitafute kigoda nikae nitulie kwanza maana huu mwendo ni mrefu sana [emoji1787]
 
Back
Top Bottom