Twyn
JF-Expert Member
- Dec 19, 2020
- 993
- 550
Tembeleeni Jeshi la Polisi Kuna Jambo Leo...
Mzee baba una lonja za uhakika mzee...[emoji122][emoji122][emoji122]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tembeleeni Jeshi la Polisi Kuna Jambo Leo...
Tuwekee hayo majinaNaona wametoa wale wa fani walio omba online
NakaziaTuwekee hayo majina
www.polisi.go.tz
Tuwekee hayo majina
www.polisi.go.tz
Nakazia
www.polisi.go.tz
Hapa nafikir wanaunganisha na watu 97, kukamilisha watu 115Ila mbona machache sana ? Inawezekana wakaunganisha na yale wakapgia zenjbar
Ooh hapo nmekusoma kakaHapa nafikir wanaunganisha na watu 97, kukamilisha watu 115
Dah nimepigwa na kitu kizito...Sijabahatika kuwwmo ktk hayo majina yao..Mbaya zaidi Shahada hawazidi hata 20!!!Cjui wametmia vigezo gani[emoji17]![]()
Nafasi za kazi - Usalama wa Raia na Mali zao
NAFASI ZA KAZI NAFASI ZA KAZI UN-MPYA pdfPolice Liaison Officer, P-4 Size: 88.52 KBDate added: 03-03-2023Date modified: 03-03-2023 Preview pdfInvestigation Officer, P-3 Size: 86.84 KBDate added: 03-03-2023Date modified: 03-03-2023 Preview pdfPolice Planning Officer, P-4 Size: 87.40 KBDate added...www.polisi.go.tz
Subiri PDF ya Mwisho unaweza kuwepo....Dah nimepigwa na kitu kizito...Sijabahatika kuwwmo ktk hayo majina yao..Mbaya zaidi Shahada hawazidi hata 20!!!Cjui wametmia vigezo gani[emoji17]
Jeshi Huwa halitabiriki....Hatua inaisha na unakubali haikuwa ridhiki mpaka pale unakutana mtaani na marafiki zako wakiwa wamemaliza Kozi.Hapo Sasa ndio unaSema Imeishaa hiyooo hahahaha.....Af kuna mtu anasema humu " polisi wakisha chagua wamechagua,hooo! Sijui wakisha enda ccp ndo bas tena.
Haya sasa leo kuna jambo lao huko, hao wanenda wap
kuna nyingine ya mwisho kwa wenye fani mkuu?Subiri PDF ya Mwisho unaweza kuwepo....
Jikaze wewe mwanaume kijana.Kufatilia ajira za polisi usaili wa kwanza hadi wa mwisho umenifanya pia nimefukuzwa site kazi ya watu ilikuwa ikienda pole pole yani vurugu tupu alafu nakuja kitaa PDF sijioni ..
MT auWazee wa biashara United muda sio muda mambo ni [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]